Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Hii michanganyiko ya mafuta na viungo ninayoisoma si mkichanganywa na mchele tunapata pilau?
 
Tukiwaomba muweke sura zenu tuone uso unavyongaa najua hamtoweza ila tuwaombe muweke hata picha za mikono au upaja tuone Jinsi mlivyomeremeta Mana nataka na wifi enu nimtafutie kitu inamfaa nshampa sana Palmer's lakini naona kawaida tuu msione nimewadharau bali nawaheshimu na kuwapenda pia Beef Lasagna Shunie Depal sinyora yna2 Patience123
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…