Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Bei yake vip hiyo dear?
45,000 twin, unajua sikusomi[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei yake vip hiyo dear?
Ni ya asili hayana jinaMafuta yake yanaitwaje?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]twin nitakutafuta asee45,000 twin, unajua sikusomi[emoji23][emoji23][emoji23]
Na serum yake dear...au unapaka hivo hivo?
Hiyo haina serum unakipakaa tu chenyewe.Na serum yake dear...au unapaka hivo hivo?
so kwa kipindi hiki yanafaa yapi?
Bio oil yanapatikana wapi?Tumia Bio oil au mafuta ya Olive pia sio mabaya
Yanapatikana wapi hayo mafutaMe natumia mafuta ya msika na sabuni ya jamaa nakua na ngozi nzuri tu
bio oil yanapatikana wapi?
Wanapochinjia ngombe ndugu mana yanatokana na ng'ombeyanapatikana wapi hayo mafuta
Sante sana dear, hilo duka la jobellcosmetics..vipodozi vyao kiwango eeh?35000 mama chini ya hapo ni fake
Kiwango dear anakuletea popote ulipoSante sana dear, hilo duka la jobellcosmetics..vipodozi vyao kiwango eeh?
Matunda,mafuta ya Nazi,asali na viungo vingine.zinatengenezwa na nini?
Kwa Jobellcosmetics wa Arusha anauza 30K35000 mama chini ya hapo ni fake
Basi huku dar Joshua anatuuzia elf 35 nitamsemaKwa Jobellcosmetics wa Arusha anauza 30K