Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Sabuni African blacksoap or maakari shower gel
Mafuta huwa napaka ya Nazi(yasiyopikwa) vilevile natumia snail repairing cream

Usoni napakaa serum Aina mbili ya snail golden au yenye argan +vitamin E oil

Scrub natumia yenye kahawa mdalasini na kungumanga or yenye mchanganyiko wa mchele oats na asali

Pia huwa natumia cleanser walau Mara 1 kwa week na toner pia.

Mask natumia clay yenye matcha/spirulina(inategemea siku hiyo najisikia kutumia ipi)

Mnywaji mzuri wa maji mengi na juice carrot

[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sabuni African blacksoap or maakari shower gel
Mafuta huwa napaka ya Nazi(yasiyopikwa) vilevile natumia snail repairing cream

Usoni napakaa serum Aina mbili ya snail golden au yenye argan +vitamin E oil

Scrub natumia yenye kahawa mdalasini na kungumanga or yenye mchanganyiko wa mchele oats na asali

Pia huwa natumia cleanser walau Mara 1 kwa week na toner pia.

Mask natumia clay yenye matcha/spirulina(inategemea siku hiyo najisikia kutumia ipi)

Mnywaji mzuri wa maji mengi na juice carrot

[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
🙌🙌
 
Wenye ngozi kavu
Nimetumia hayo ya nazi, vaseline, cocoa butter lemon ya American dream lakini sijawahi kuona matokeo mazuri zaidi ya uso kupoteza nuru.

Msaada tafadhali.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nikitumia sioni mabadiliko mazuri, kama yananikataa hivi. Hayo ya American dream nilijikaza kama wiki 2 nione kama uso utazoea lakini ukagoma, zaidi nilipata vile vipele vidogo vidogo vya baridi.
American dream na queen Elizabeth changanya na serum yeyote ukipaka hivihivi unaona kufubaa
 
Kama uko Dar nikuelekeze kwa mtu mwenye duka la cosmetics alinisaidia sana. Nilikuwa na uso usio na shukran, amenipa losheni nzuri, unamwambia tatizo lako anakuchagulia losheni /body cream anayoona itakufaa kulingana na shida yako, nimekuwa soft sana, mpaka watu wananiuliza napaka nini... Amewasaidia pia rafiki zangu na wameona matokeo mazuri.

Kama uko mkoani anakusudia pia, kama ni bidhaa anakutumia kwa bus.

Ukiwa tayari nipm nikupe contacts zake
Si umtaje hapahapa dear kwa manufaa ya wengine
 
Sabuni African blacksoap or maakari shower gel
Mafuta huwa napaka ya Nazi(yasiyopikwa) vilevile natumia snail repairing cream

Usoni napakaa serum Aina mbili ya snail golden au yenye argan +vitamin E oil

Scrub natumia yenye kahawa mdalasini na kungumanga or yenye mchanganyiko wa mchele oats na asali

Pia huwa natumia cleanser walau Mara 1 kwa week na toner pia.

Mask natumia clay yenye matcha/spirulina(inategemea siku hiyo najisikia kutumia ipi)

Mnywaji mzuri wa maji mengi na juice carrot

[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi snail repairing cream ni nzuri eenh
 
American dream na queen Elizabeth changanya na serum yeyote ukipaka hivihivi unaona kufubaa
Kuna serum inaitwa (aha) ni nzuri??? Mwenye uzoefu na hii serum tujuzane
Or serum yoyote nzuri tujuzane
 
Nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
 
nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
Kweli usemayo kuhusu clinic clear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
Hiyo clinik clear ni serum??
 
nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
American dream mpaka uchanganye na serum
 
Mie nakosa jibu sahihi, sababu siku nisioge kabisa, mara siku nioge sabuni ya unga, siku nitumie dettol, mara nioge jamaa, ila sabuni yangu kuu kabisa ni imperial leather, siku nyingine nioga maji ya chuku chuku tu!!

Sipaki mafuta wala lotion.
 
Yan haya Mambo ya ngozi mpk umepata the best kwenye ngonzi umeangaika hatari hasa sisi wenye ngozi za mafuta
Yaani wewe mimi kabisa na ngozi yangu ya mafuta ndio maana nimetulia kwenye boutour naona kidogo imeupenda uso wangu
 
Mwanzoni nilikuwa napata tabu chunusi ndio ugonjwa wangu, Kuna mmama nilikutana naye akanisidia sielew kitu gani kile ila anadai anachanganya mayai, kitunguu na asali na paka mwili mzima jamani nimekuwa laini mpaka najitamani chunusi , kwarara zote hamna. Sabuni natumia ya jorjous .
Nisaidie mawasiliano yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom