Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Bora parachute. Au nitengenezee unitumie 🙃[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Parachute au tengeneza mwenyewe(cold process)
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora parachute. Au nitengenezee unitumie 🙃[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Parachute au tengeneza mwenyewe(cold process)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie natumia yale yakupika!Ya aina gani?
Tumia parachute..mwaka wa kuja dar utayakutaBora parachute. Au nitengenezee unitumie [emoji854]
😀😀😀na unajua mpango na Dar sina. So hapo nanyimwa kijanja
[emoji3][emoji3][emoji3] Nitakutumia kipenzi[emoji3][emoji3][emoji3]na unajua mpango na Dar sina. So hapo nanyimwa kijanja
Eeenh ukipaka peke yake uso unafubaaKumbe.
Asante dear ntaitafutaEeenh ukipaka peke yake uso unafubaa
Ingram lotion iko pesa ngapi..?Mie pia natumia dettol kuogea,siku zote miaka yote
Lotion Ingram
nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
American dream mpaka uchanganye na serum
Yaani wewe mimi kabisa na ngozi yangu ya mafuta ndio maana nimetulia kwenye boutour naona kidogo imeupenda uso wangu
Dear ulikua unapaka mpaka mwilini [emoji1787] si hata week haijamalizaTupo pamoja kwenye boutoer sema nilikua napaka hadi mwilini now nimeacha napaka usoni tu.
Mwilini Queen Elizabeth nimechanganya na serum ya American dream karangi kamezidi kuwa kataamu
Acha bwanaWametoa Serum yao aisee ukichanganya hata na Queen Elizabeth ukapaka mwilini ni balaa.
Dear ulikua unapaka mpaka mwilini [emoji1787] si hata week haijamaliza
Acha bwana
Hahhaah ulikua unakaonea sana nahisi mimi ningetumia week 1 na nusu najijuaNilikua napaka nikaona ipo poa tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kilikua kinakaa week 2 hadi 3
Botouer ilikuwa nzuri sana sana ..ila sasa hivi ziko fake nyingi sn au la mzalishaji kashusha kiwango. For me was good..natoka wamechakachua niko njia pandaHuenda tatizo lako na lako ni tofauti, mimi alinipa Botour pamoja na Palmer's skin therapy oil, ambayo sijui kama kwako ita work kwa tatizo ulilonalo.
Serum zinasaidia nini? Na hazina madhara kwa ngozi? Elimu kidogoAmerican dream na queen Elizabeth changanya na serum yeyote ukipaka hivihivi unaona kufubaa