Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Asee...nimetikisika hapa!! kusikia umekua mlainiii..
 
Mashallah wewe binti!!
 

Kila kitu rangi moja enhee[emoji16][emoji16] Mimi sipaki chochote Ndio maana rangi zinatofautiana kumbe[emoji14][emoji14][emoji14]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata nipake chochote au niogee sabuni yoyote ngozi yangu haina makuu watu wananiulizaga unapaka mafuta gani usoni
Nikiwaambia yoyote awaamini
Uso sio wa kuusiriba milotion sijui ya kungarisha mwisho wa siku uso unaharibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wametoa Serum yao aisee ukichanganya hata na Queen Elizabeth ukapaka mwilini ni balaa.

Jamani mimi sjui nitumie natumia chandlin lakin wapi uso wangu una mafuta lakin mara kitoke hiki mara kipone kitoke hiki hivi hakuna lotion nzuri ya kupaka uso ukawa soft tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nipe nami namba zake tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…