kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu sabuni ya Asante ya ukwaju itakusaidia
Mimi huwa natumia mafuta ya nazi kwa mwili mzima,
Huenda tatizo lako na lako ni tofauti, mimi alinipa Botour pamoja na Palmer's skin therapy oil, ambayo sijui kama kwako ita work kwa tatizo ulilonalo.
Hembu tueleze Madam Depal wewe unazo rangi ngapi kuu mwilini mwako?Ilipaswa uanze wewe kutuoneshea mfano.
Me natumia palmers cocoa butter lotion, sabuni naogea dettol, kuhusu rangi ni ngumu kuwa na rangi moja mwili mzima
Huwa situmii IG, hivyo sijui hata kama ana account huko. Kwake nilielekezwa na mdogo wangu ambaye ni jirani yake kibiashara. Nina namba zake za simu tu ambazo siwezi kuziweka public. Mtu akihitaji huwa Nampa wanawasiliana wenyewe hukoWeka hapa hata IG yake
Dear...Kabisa, kama ye alisaidiwa kuoneshwa duka basi aweke hapa namba za muuzaji mambo ya kufatana PM ya nini!!
Yan ndio kama wale wa Instagram anaweka bidhaa haweki bei, ukivutiwa ukamuuliza bei anakupa linamba umfate What's app' nikishaonaga hivi naweka walakini na bidhaa zako baki nazo
Dear...Kabisa, kama ye alisaidiwa kuoneshwa duka basi aweke hapa namba za muuzaji mambo ya kufatana PM ya nini!!
Yan ndio kama wale wa Instagram anaweka bidhaa haweki bei, ukivutiwa ukamuuliza bei anakupa linamba umfate What's app' nikishaonaga hivi naweka walakini na bidhaa zako baki nazo
Dear...Kabisa, kama ye alisaidiwa kuoneshwa duka basi aweke hapa namba za muuzaji mambo ya kufatana PM ya nini!!
Yan ndio kama wale wa Instagram anaweka bidhaa haweki bei, ukivutiwa ukamuuliza bei anakupa linamba umfate What's app' nikishaonaga hivi naweka walakini na bidhaa zako baki nazo
Sawa.
Hata ungekuwa ni wewe mpendwa lazim uone walakini....yan mfanyabiashara tena namba unaogopa kuweka public?!!Dear...
Siwezi kuweka namba ya mtu public bila ridhaa yake.
Hata hivyo una hiyari, sijalazimisha.
Asante.
Sehemu zinakuwa covered muda mwingi zinang'aa tofauti na zinazokuwaga wazi. Nikimaanisha rangi ya mapajani haiwezi kufanana na usoniHembu tueleze Madam Depal wewe unazo rangi ngapi kuu mwilini mwako?
Mwenye biashara sio mimi dear, ni mtu ambaye nami nimemfahamu kupitia kwa mtu,naweza niweke namba lakini huwezi jua watu wataitumiaje, Jf ina users wengi wenye intentions tofauti,nisije kumpa shida kaka wa watu. Sina hata maslahi kwenye biashara yake useme watu waje pm niwapige hela... Ilikuwa tu ni koneksheni wengine pia wasaidike.Hata ungekuwa ni wewe mpendwa lazim uone walakini....yan mfanyabiashara tena namba unaogopa kuweka public?!!