ARMs14
JF-Expert Member
- Jul 11, 2014
- 316
- 233
Habar wakuu?? Naomba kuuliza hv kuna watu wanataka kujifunza lugha ya alama?? Maana kuna mafunzo yataanza kutolewa.
Tangazo ni hili.
*************************
Habari za wakati huu.
Mafunzo yetu ya Lugh ya Alama ya Tanzania yataanza kesho kutwa. Tarehe 22 Oktoba 2024.
Saa 4:50 asubuhi Mkurugenzi wa Taasisi ya Teknolojia za Elimu na Menejimenti atatufungulia mafunzo.
Karibuni sana Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)
Kwa wale wanaotaka kujifunza lugha hio nijuzeni.
Tangazo ni hili.
*************************
Habari za wakati huu.
Mafunzo yetu ya Lugh ya Alama ya Tanzania yataanza kesho kutwa. Tarehe 22 Oktoba 2024.
Saa 4:50 asubuhi Mkurugenzi wa Taasisi ya Teknolojia za Elimu na Menejimenti atatufungulia mafunzo.
Karibuni sana Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)
Kwa wale wanaotaka kujifunza lugha hio nijuzeni.