FAHAMU: Katiba inamzuia Rais wa Kenya kufanya haya baada ya Uchaguzi Mkuu

FAHAMU: Katiba inamzuia Rais wa Kenya kufanya haya baada ya Uchaguzi Mkuu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kwa mujibu wa Katiba ya Kenya, baada tu ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022 Rais alipoteza;

Mamlaka ya kuteua Majaji wa Mahakama Kuu, kuteua Afisa yeyote wa Umma, kuteua au kumfukuza kazi Katibu wa Baraza la Mawaziri, Katibu Mkuu na Maafisa wengine wa Serikali.

Kwasasa hawezi kutumia Mamlaka ya kuteua au kumfukuza Kamishna Mkuu, Balozi, au Mwakilishi wa Kidiplomasia au Ubalozi.

Katiba pia inamnyima Rais anayemaliza muda wake uwezo wa matendo ya huruma na hivyo, hawezi kuwasamehe Wafungwa.

Katiba pia imepunguza Mamlaka ya Rais kutoa Heshima popote kwa jina au niaba ya Wananchi au Jamhuri ya Kenya.
 
Yeah nhe tunayajua zaidi kuhusu katiba ya Kenya 🇰🇪 kuliko katiba yetu, yaani tunajisikia huru zaidi kujadili na kuyajua ya our next door kuliko ya humu ndani!,ngoja nipate ulanzi wa asubuhi hapa na huku natafakari why even Namibia 🇳🇦 beat Tanzania kwenye mchezo wa netball, nchi yangu kipindi heshima ipo, Bora Stars, Jeshi Stars hizi timu zilisimamisha netball teams zote hapa Africa mashariki na kati, Leo tumekua utopolo wa kila nchi kujichukulia pts kwetu
 
Kwa mujibu wa Katiba ya Kenya, baada tu ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022 Rais alipoteza;

Mamlaka ya kuteua Majaji wa Mahakama Kuu, kuteua Afisa yeyote wa Umma, kuteua au kumfukuza kazi Katibu wa Baraza la Mawaziri, Katibu Mkuu na Maafisa wengine wa Serikali.

Kwasasa hawezi kutumia Mamlaka ya kuteua au kumfukuza Kamishna Mkuu, Balozi, au Mwakilishi wa Kidiplomasia au Ubalozi.

Katiba pia inamnyima Rais anayemaliza muda wake uwezo wa matendo ya huruma na hivyo, hawezi kuwasamehe Wafungwa.

Katiba pia imepunguza Mamlaka ya Rais kutoa Heshima popote kwa jina au niaba ya Wananchi au Jamhuri ya Kenya.
Nakukumbuka kikwete aliteua wakuu wa wilya Kabla ya magu kuapishwa.
 
Back
Top Bottom