Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Mpaka sasa ni wazi kuna factors zinazo-influence kusambaa kwa ugonjwa huu na factors hizo huenda ndio chanzo kikubwa cha tofauti ya kusambaa ugonjwa huu katika nchi za Kiafrika na zile za Ulaya, Marekani na Asia.

Hata tofauti ya idadi ya vifo nayo ni sababu moja wapo inayoponyesha umuhimu na ulazima wa jambo hili kufanyiwa utafiti.

Nasema hivi kwasababu siku zote linapokuja suala la umasikini na magonjwa, Afrika ndio huongoza kama ilivyo kwa HIV, kipindupindu n.k ila kwa corona naona hali inakuwa tofauti kabisa.

Ugonjwa huu ulianzia huko China na kama ni kusambazwa na abiria wanaosafiri kwa ndege, basi hata Afrika ilipaswa iwe imeathirika kwani kuna ndege nyingi tu zinaingia Afrika kutoka China kama ilivyo kwa Ulaya,Marekani na Asia.

Kingine cha ajabu ni kuwa, hivi sasa nchi za Ulaya na Marekani zinachukua hatua za juu sana katika kudhibiti ugonjwa huu zikiwemo kuzuia ndege kuingia katika nchi hizo, kufunga mipaka, kuzuia raia wake kutoka majumbani n.k,huku sisi Afrika tukizembea kabisa ila bado tu rate ya kusambaa huu ugonjwa Afrika bado iko chini mpaka sasa.

Swali ni je, hali hii inatokana na nini? Hapa hatuoni kuna umuhimu wa kufanyika utafiti wa kina juu ya jambo hili?

Au Afrika tuna vipimo duni na vichache kutosheleza kubaini maambukizi ya huu ugonjwa na hivyo inawezekana tuna wagonjwa wengi tu wasiojulikana?

Au ndio baada ya muda gonjwa hili litabakia Afrika kwa wingi na kwa muda mrefu huku likiwa limedhibitiwa katika nchi za wenzetu?

Maswali ni mengi kuliko majibu!!
 
Baada ya ugonjwa kuingia Tanzania na Waziri Ummy kuutangaza huku akicheka as if ni kaswende, na huku Rais akikimbilia Dodoma, vituo vya redio [sitaji majina] vimekuwa vikipotosha sana kuhusu Corona na kukebehi na kupotosha watu.

Kituo kimoja kipo Mikocheni njia ya Kokakola karibu na Msasani Club, yaani kwanza watangazaji hawajui kutofautisha "L" na "R" na hawajui corona wanasema eti na mafua tu.

Mwakyembe was right kutaka kila mtangazaji na mwandishi walau awe na shahada ya kwanza ya chuo.

Mwakyembe, Serikali, toeni muongozo, si kila mtu mbulula tu huko kwakuwa ni msanii ama comedian anajitokea na kuzungumzia corona wakati haijui, tena na yeye anasema imetengenezwa USA, na ujinga mwingi.
 
Chadema sasa kile kitengo chenu cha intelijensia ndio kioneshe umuhimu wake sasa kitafiti na kipeleke machapisho hayo taasisi muhimu!
 
Tunasubiri wakabiliane nao kwanza na wakishaudhibiti, watatuletea misaada kama ilivyo kawaida. Utafiti watafanya wao vile vile kwani ugonjwa utakuwa umebaki Africa tu.
 
Kama ukisikia mwaafrica kapata corona basi ujue katoka nao nchi mojawapo yenye baridi kali lkn immunity za waafrica zipo very resistive kwa hiyo hawezi chukua muda kupona. Immunity ya waafrica iko resistive kwasababu ya hali ya maisha magumu tuliyo pitia, mazingira tunayo ishi Africa ni machafu, tunaishi na vimelea vya magonjwa ya kila aina, mtu anaweza kuumwa mafua na kupona bila kwenda hospitali, maana yake kinga yake imekua ikipambana yenyewe bila kumeza dawa.


Vumbi ndio usiseme, vumbi linaingia mwilini likiwa na vimelea kibao lkn mtu anaendelea kuishi. Mazoezi tuliyo fanya kila siku tangia tukiwa wadogo kwa kutembea kwa miguu bila kupanda magari kwenda sehemu mbalimbali labda ni shuleni hayo yote yanaongeza metabolic rate ya mwili. Tofauti na wenzetu wamezaliwa kwenye magari kwa hiyo muda wote ni magari no time ya kufanya mazoezi


hapa ndipo inapokuja concept ya kunywa MAJI YA MOTO mara kwa mara ili kuongeza metabolic rate ya mwili. MAJI YA MOTO yanazo faida nyingi tu mbali na hiyo ya kuongeza metabolic rate ya mwili.

Nawaailisha tafiti iliyofanyika Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By the time ugonjwa unaisha Ulaya huku Africa ndio utakuwa ushajizatiti na lengo lao litakuwa limetimia bila kuacha suspicion. I hope I'm wrong.
 
Watangazaji wa kitanzania ni multi purpose. Ukienda kwenye ngumi wapo, kwenye masuala ya kimataifa yupo, kwenye mambo ya mazingira wapo, kwenye mahusiano ndiyo usiseme wanajua kila kitu.

Vyombo vya habari vilitakiwa kuwa na waandishi ambao ni wabobezi katika kile wanachofanya mfano Dr. Isack Maro wa Clouds, Njia panda. Ilitakiwa mtangazaji awe na taaluma ya masuala ya kisiasa ili afanye mijadala ya kisiasa, awe na taaluma ya saikolojia ili afanye midahalo inayohusu masuala ya saikolojia.

Kama ni mtu wa burudani basi ajue kuhusu muziki, filamu na michezo awe mbobezi. Sasa hapa nchini tunabeba wakina Mpoki, na Steve Nyerere watudadavulie masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na kibiashara!!!
 
Ni kweli wewe ni mjinga

Ila uwe unajitahidi kuficha ujinga wako ati

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mnahangaika nao. Wao hata kifo chao wanahisi ni CHADEMA. Wakisikia neno CHADEMA wanatamani ardhi igeuke. Ila ndo vizuri, ukiona watu wanakutajataja kuliko hata wanavyomtaja Mungu wao ujue wamechanganyikiwa na baraka zako.
 
NEWS ALERT: Iran frees 85,000 prisoners to combat spread of COVID-19

Iran has temporarily freed about 85,000 prisoners in an effort to combat the spread of coronavirus, a judiciary spokesman in the country has said. [Sky News]

Endelea kutupatia taarifa za Corona
 
Tz kuna kesi mpya mbili za wagonjwa wa covid19 ambapo inapelekea sisi kama nchi kuwa na jumla ya wagonjwa watatu[emoji848]
 
Back
Top Bottom