Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Wakuu, Italy inahitaj msaada , hatari hatari
Screenshot_20200318-212314.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bandiko lako ni zuri ila uwasilishaji wake ni wa hovyo sana sana. Hueleweki unataka nini, Pompeo anahusikaje hapa?
 
Hivi watu wa CCM nan kawaroga? Me sina chama ila wakati korona linaanza kusambaa Msigwa alitoa hoja bungeni wajadili hili swala kama hali ya dharula, kwakua ccm wengi na msigwa ni mpinzani wakapinga na wakapitisha mapendekezo yao ya kiboya, yan tusubir kudondoka kama kuku manake ugonjwa unatembea kwene NOTI KAMA HAUNA AKILI NZURI.

HAYA HILO TULIWEKE KANDO, HEADING, unaongelea kuhusu makonda na pompeo sawa ila chini unaisifia NIGERIA KWA KUFUNGA BORDERS, ina impact gani KWA TANZANIA ILIHALI HAPA CCM WAMEFANYA USENGELEMA MPAKA UGONJWA UMEINGIA, Yan unataka kusema NIGERIA AMEMKOMESHA POMPEO KWA ALICHOSEMA KUHUSU PAULO ? CCM HAMNA AKILI KABISA YAN DAAH,

Ila sasa mmeruhusu ugonjwa ambao iwe tajiri au maskini ukikupata umekupata kudadeki hakunaa njia rahis kukwepa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nieleweshe hizo namba kwanza acha bla bla


Sent from my iPhone using Tapatalk
Ndio maana wakenya huwa wanatucheka sana watanzania,ngoja tuibadili hii list kuwa katika mfumo wa kiswahili,nimegundua kingereza hapa ndio tatizo kubwa.
 
Akili mbovu kabisa hizi! Unadhani Wamarekani wanauhitaji wa kufika Nigeria?
Pumbafu kabisa
 
Back
Top Bottom