Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Nigrastratatract,
Kweli Lumumba ni takataka! Umeandika nini sasa hapa. This is a world phenomenon, to the whole world taking such measures. Sasa why pointing a finfer at US! Rubbish!
 
Ndio maana wakenya huwa wanatucheka sana watanzania,ngoja tuibadili hii list kuwa katika mfumo wa kiswahili,nimegundua kingereza hapa ndio tatizo kubwa.

Acha za kuleta wewe hiyo lugha unayoisema huwa Ina hesabu tofauti? Unaulizwa swali dogo unajifanya una elimu
Jibu dogo umeshindwa unaongelea mkenya what a moron. Usiwadhalilishe wakenya hawawezi kuandika hivi. Tenga vifo na waathirika sio unaandika kama mtoto wa la pili.

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Habari, Ndugu watanzania wenzangu na dunia kwa ujumla. Natumai mko wazima na afya njema. Kwa hakika dunia kwa sasa inashuhudia janga kubwa la virus huyu wa Corona. Kuna mamilioni ya watu tayari wameshaathirika na wengine wengi wamopoteza maisha ila pia wapo waliopona.
Kwa mpaka sasa CHINA ina case 80,928 kwa ujumla, ikiwa 34 na zaidi ni mpya. Jumla ya idadi ya waliokufa ni 3,245, ikiwa vifo vipya 8 na zaidi. Hata hivyo watu 70,420 wamepona. Kesi zinazofanyiwa kazi kwa sasa zimebakia 7,263 katika hizo 2,274 ni sugu na pengine haziwezi kutatulika.
China-corona.PNG


Nchi ambazo zimeathirika sana ni China, Italy, Iran, na Spain. Lakini Nchi ambazo zinakamatwa na ugonjwa huu kwa kasi mno kwa sasa ni USA na South Korea.
Ikiwa idadi ya kesi zote marekani ni 9,464 na 205 na zaidi ni mpya zinaongezeka. Idadi ya vifo vyote marekani 155 na 8 na zaidi ni vipya vinavyoongezeka. Na idadi ya watu 108 wamepona na kesi 64 ni sugu zikitarajiwa hazina matibabu. Katika South Korea idadi ya kesi zote ni 8,565, ikiwa 152 na zaidi ni kesi mpya zinazoengezeka. Idadi va vifo vyote Souuth Korea ni 91 na 7 na zaidi ni vifo vipya vinavyooengezeka. Watu 1,947 wamepona na ikiwa kesi 59 ni sugu zinazotarajiwa kuwa hazina matibabu.

usa-corona.PNG


Katika nchi yetu Tanzania Mpaka sasa kuna kesi 6 jumla na 3 na zaidi zikiongezeka. Tunamshukuru mungu hakuna aliyekufa na wala hakuna kesi sugu. Kama inavyoonekana katika picha niliopiga katika website inayokusanya taarifa zote za corona Virus
tz-new.PNG


Ama kuhusu hali ya kiuchumi, kampuni nyingi zimefungwa. Lakini serikali ya Italy imetoa amri maduka yote, baa, na migahawa ifungwe kwa muda. Kwa hiyo huko Italy hali ya kiuchumi inazidi kuwa ngumu. China baadhi ya viwanda vimerudi katika utendaji kazi wa kawaida wa siku zote. Ila bado changa moto ya uchumi na kibiashara inatagemewa kuwepo kwa sababu China ndio Tegemeo la African na Nchi Nyingi ikiwemo Marekani. Hivyo China viwanda vinafanya kazi vizuri baadhi ila ngege na meli nyingi za kusafirisha mizigo zimesimamishwa kufanya kazi. Bali kampuni chache ndio zinafarisha ila kwa bei ghali mara mbili zaidi ya awali ikiwemo UBI ,UPS, na DHL.
Pia marekani inategemea lock-down yaani kufunga baadhi ya maduka, super market na migawa katika wiki chache zijazo kulingana na hali itakavyokuwa.

Lakini pia Japan huenda ikathibitisha ya kuwa dawa za kutibia mafua ambazo ni Avigan huenda zikauwa virus wa korona kwa asilimia kubwa. Kwasababu zimejaribiwa kupewa kwa watu walioathirika na wamepona kabisa na kesi zao zilikuwa ni sugu. Hata hivyo uchunguzi unaendelea kutafuta suluhisho na kinga thibiti. Habari hiyo ikitolewa na Jarida la japan linalojulikana kama japantimes.
japan-corona.PNG


Kwa habari kamili binya kiungo kifuatacho Binya hapa

Tahadhari zinahitajika kuchukuliwa
1.
Taarisha ndoo yako ya maji na uchanganye na Dittol ili ukirudi nyumbani uoshe mikono kwa maji hayo.
2. Jaribu kutopeleka mikono usoni mara kwa mara.
3. Epuka kusalimiana kwa mikono au kukumbatia
4. Oga maji yenye kuchanganywa na Dittol kabla kuingiliana na kufanya mapenzi.
5. Vaa glavzi kwenye mikono na tinga shati ya mikono mirefu ukienda katika shunguli zako.
6. Kaa mbali na watu unaowahisi wanakohoa au wana dalili za mafua.
7. Epuka visababisho vyote vinavyoanzisha mafua. Kama vile vumbi n.k
8. Epuka kula wanyama pori kwa sasa kama vile nguruwe mwitu, nyoka, mende, popo(Bat) n.k
9.Epuka kugusana kimwili na mtu mwengine hasa kwenye dalala na mwendo kasi.
10. Ukihisi dalili yoyote ya ugonjwa huu tafadhali jisalimishe hospital kwa kuokoa wengine.

DALILI ZA CORONA VIRUS
1. Homa inayoambatana na baridi kali.
2. Homa inayoambatana na mafua makali.
3. Kuhisi unaishiwa na pumzi mara moja au kupata tabu katika kuvuta hewa.
4. Kikohozi na homa kali.
5. Kuhisi mwili unakwisha nguvu na kuchoka mno ikiambatana na homa kali.

Tunamuomba Mungu atuepushe na Janga hili kwa sote . Ameen

NOTE: Ijulikane ya kwamba mask huvaliwa na watu walioathirika tu. Ili wasiambukize watu wengine.
UPDATED
 

Attachments

  • corona-tz.PNG
    corona-tz.PNG
    6.9 KB · Views: 2
Mkuu hebu update uzi wako. Ume post 1 min ago wakati tangazo la Ummy Mwalimu limetoka muda sana kutangaza kesi mpya TZ
 
Pakua handbook bure chini katika .pdf format... Very resourceful. Wanajamvi tuweke handbooks zote, video illustrations, and any other pertinet information to share with fellow citizens on how we can prevent and control the coronavirus. This thread is intended to leverage in research and understanding of the outbreak and the disease process, treatment and control.

Wizara ya afya, watoa huduma katika afya, wataalamu wa afya na jamii kwa ujumla ikiwapendeza muchangie na musome kwa makini mambo haya yanayohusu coronavirus as a pandemic ya wakati huu tunaoishi sasa na mwisho tutoke handbook yetu wenyewe.


The Jack Ma Foundation and Alibaba Foundation, together with the First Affiliated Hospital of Zhejiang University, jointly established the Global MediXchange for Combating COVID-19 (GMCC) programme, with the support of Alibaba Cloud Intelligence and Alibaba Health, to help combat the global outbreak of the novel coronavirus, COVID-19. This platform was established to facilitate continued communication and collaboration across borders, as well as to provide the necessary computing capabilities and data intelligence to empower pivotal research efforts. The platform can provide frontline medical teams with the necessary communication channels to share practical experience and information about fighting the pandemic.

In order to win this inevitable battle and fight against COVID-19, we must work together and share our experiences around the world. The First Affiliated Hospital, Zhejiang University School of Medicine has treated 104 patients with confirmed COVID-19 in the past 50 days, and their experts wrote real treatment experience night and day, and quickly published this Handbook of COVID-19 Prevention and Treatment, expecting to share their invaluable practical advice and references with medical staff around the world. This handbook compared and analyzed the experience of other experts in China, and provides good reference to key departments such as hospital infection management, nursing, and outpatient clinics. This handbook provides comprehensive guidelines and best practices by China's top experts for coping with COVID-19.

This handbook, provided by the First Affiliated Hospital of Zhejiang University, describes how organizations can minimize the cost while maximizing the effect of measures to manage and control the coronavirus outbreak. The handbook also discusses why hospitals and other healthcare institutions should have command centers when encountering a large-scale emergency in the context of COVID-19.

This handbook also includes the following:
-Technical strategies for addressing issues during emergencies.
-Treatment methods to treat the critically ill.
-Efficient clinical decision-making support.
-Best practices for key departments like inflection management and outpatient clinics.
Download Link
https://video-intl.alicdn.com/Handb...book of COVID-19 Prevention and Treatment.pdf
Source: Global MediXchange for Combating COVID-19 - Alibaba Cloud
 
Mkuu hebu update uzi wako. Ume post 1 min ago wakati tangazo la Ummy Mwalimu limetoka muda sana kutangaza kesi mpya TZ
Asante mkuu kumbe computer yangu ilikuwa imehifadhi cache za tokea juz. So nimerefresh website inayotoa takwimu hizi na nimeona mabadiliko na nimejaribu ku update.
 
Kama kawaida yao marekani wizi

Meanwhile the #US Regime Has Stolen 500.000 #Coronavirus Test Kits From #Italy at a time when Italians desperately need them.
US Air Force Flew Half a Million Coronavirus Test Swabs From Italy to Tennessee

Always trust yr self.

Always trust yr self.
 
Coronavirus cases, U.S.

New York: 2,914
Washington: 1,187
California: 690
New Jersey: 427
Florida: 327
Illinois: 288
Louisiana: 280
Massachusetts: 256
Colorado: 221
Georgia: 197
Pennsylvania: 133
Wisconsin: 114
Michigan: 110
Texas: 108
Tennessee: 100
Connecticut: 97

Always trust yr self.
 
1584622295528.png


Hi! Unlike a lot of people you’re hearing from on here, I have actually tested positive for Covid-19. I was most likely exposed on March 3rd, became ill about a week later, and just received my official test results today, March 17th.

Coronavirus feels like the most devastating flu I have ever had. Intense bouts of fever, alternating with the kind of chills that, even with three sweaters on, make your teeth chatter uncontrollably. I’m “lucky”, relatively speaking, because my temperature never went higher than 102 degrees Fahrenheit, but even then, it felt like my body was burning up. Plus, a general feeling in my head that I can only describe as “heavy” or “flu-ish” that makes every movement and activity feel like a massive chore.

A few days later, I developed a very annoying dry cough. But again, I am lucky because there have been no chest pains or breathing problems, which would be a reason to be hospitalized.

My appetite has been nearly nonexistent—I am normally a big eater, and it’s only been in the past couple days that I’ve been able to make myself eat anything. Even then, it feels very gross, and I can only consume very small amounts.

Fortunately, I’ve been able to manage my symptoms just by taking Tylenol, and my condition appears to be improving. The worst part, though, is being stuck at home but feeling too sick and exhausted to actually do anything except sit around and cough.

As I said, I’m one of the lucky ones: According to the doctors, I will most likely be fine in another week.
But trust me, people: This virus is real. You do NOT want it. And you do not want to be the one who gave it to someone else. Chances are, many of you are carrying it already, even if you don’t have any symptoms. (I most likely had it for at least a week before ever feeling sick.) Stay home, and wash your damn hands!

EDIT: I’m sure a lot of people are wondering how I was able to get tested. I found out that one of the ushers at a Broadway show I had attended tested postive for the virus. Because of this potentially direct exposure, combined with the fact that I had all the symptoms, and tested negative for flu, I was okayed for the Covid-19 test. I don’t think this is right, but at least here in New York City, that is how they are doing it.

Also: I am 47 years old, in decent physical shape with no preexisting health conditions
 
Interesting story to read! There is hope somewhere, that this NEW disease is unlike HIV curable! The major difference is the anti-socializing aspect of it! Once infected, one can no longer be in close contact with anyone else! It denies us the warmth of hug with a friend, lover and visitors we are meeting for the first time! Dreadful flu!
 
Kwa maelezo ya waziri ukichanganua huyu mama ashaambukiza watu na wa kwanza aliposhuka akachukua usafiri gani? Hao alosafiri nao wameshuka wangapi? Vipi gari iliyomtoa hospital je pesa alizoshika kuwalipa hotelini je? Je funguo je alokuwa anafanya usafi chumbani kwake hotelini je? Je hao watu waliomzunguka katika safari zqke za ndani hadi anaumwa wana hali gani wamekutana na watu wa hali ipi hiki kisa kama cha corea tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Aseee

Sent using My COVID-19
 
Hivi maleria hapo ikupige ile ki sawa sawa hivi utaweza hata kushika simu na kuchat/kujichukua video?? Kwa maoni yangu naona CORONA inawaathiri zaidi watu weupe/wazungu, na kama ni waafrica basi ni wale waafrica wenye afya mgogoro.

Kwa muafrica mwenye afya nzuri hutakiwi kuwaza kabisa, cha zaidi ni kula matangawizi, malimao na machungwa kwa wingi, wewe kama afya yako ni mgogoro hata unawe mikono vipi utaupata tuu na utakudhuru, hata uvae mask mda wote kama soudybrown utakuathiri tuu, lakini kama una afya njema huna cha kuogopa.

Wazungu/watu weupe kinga yao ya mwili ipo chini kulinganisha na sisi.

Nilivyosikia unaua watu huko ulaya na asia sikushani kama hapa kwetu itakua hivi, wagonjwa tulionao wanathibitisha hilo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha za kuleta wewe hiyo lugha unayoisema huwa Ina hesabu tofauti? Unaulizwa swali dogo unajifanya una elimu
Jibu dogo umeshindwa unaongelea mkenya what a moron. Usiwadhalilishe wakenya hawawezi kuandika hivi. Tenga vifo na waathirika sio unaandika kama mtoto wa la pili.

Sent from my iPhone using Tapatalk
Ndo maana nikasema tatizo kingereza,hiyo hesabu hamjaelewa,hadi kuna mtu mmoja katuma na link kabisa ya mahali nilipotoa hiyo hesabu na bado haujaelewa,TATIZO KINGEREZA.
hiyo ni list ya Update za kila siku kuhusiana na hali ya Corona duniani lakini watu sijui huwa mnakesha dunia gani,kha TATIZO LUGHA YA KIZUNGU.
 
[emoji23][emoji23]
Italia

Nchini Italia vimetokea vifo 168 ndani ya Masaa 24 na kupelekea idadi ya vifo vya Corona kufikia 631
Huku maambukizi yakivuka watu 10000

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti ni kweli Mzungu alipewa akili akanyimwa kinga ya Mwili na Mwafrika alipewa Kinga ya Mwili akanyimwa Akili...


Wakati wazungu wana potezwa na Corona Kuna mtu uku Africa yako poa tu anaishi na Wanacovid fresh tu naona wanataka wasepe zao wamwachezake

#Mwanafa
 
Back
Top Bottom