Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Matumaini ndio ngao zetu lakni kujilinda na ushauri toka Mamlaka husika tusi uzalau...
Kama hili liliwahi kutokea na mababu zetu waliswal na kuomba likatokomea...
 
Corticopontine,
Mwezi uliopita kuna msanii mwenzako toka Nigeria anaitwa T.B. Joshua, naye pia alitabiri kuwa corona ingekwisha mwishoni wa mwezi wa tatu lakini wapi. Wewe inabidi ukamatwe kwa kupotosha watu.
 
Mwezi uliopita kuna msanii mwenzako toka Nigeria anaitwa T.B. Joshua, naye pia alitabiri kuwa corona ingekwisha mwishoni wa mwezi wa tatu lakini wapi. Wewe inabidi ukamatwe kwa kupotosha watu.

Hahahahaa kweli mkuu hawa wasanii sasa wanapaswa kunyea debe.
 
Mbona hukutabiri huo ugonjwa kabla haujaja..?

Punguza ukenge watu wanahangaika we unarefusha limdomo lako ati dhambi dhambi!!
Kama huyo Mungu wako alikuwa anataka kuuadhibu wenye dhambi si angewauwa tu hao wenye dhambi!!

Au kwa akili yako ya matope unafikiri ule ugonjwa unabagua..?
Punguza uhayawani Bata wewe huyo Mungu wako hana la kutusaidia haijalishi uwe mwema au usiwe yeye haoni wema wala ubaya hayo unajua wewe na makaririsho uliyomezeshwa huko..
 
Mbona hukutabiri huo ugonjwa kabla haujaja..?
Punguza ukenge watu wanahangaika we unarefusha limdomo lako ati dhambi dhambi!!
Kama huyo Mungu wako alikuwa anataka kuuadhibu wenye dhambi si angewauwa tu hao wenye dhambi!! Au kwa akili yako ya matope unafikiri ule ugonjwa unabagua..?
Punguza uhayawani Bata wewe huyo Mungu wako hana la kutusaidia haijalishi uwe mwema au usiwe yeye haoni wema wala ubaya hayo unajua wewe na makaririsho uliyomezeshwa huko..
Povu.mkuu uko na stress?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi uliopita kuna msanii mwenzako toka Nigeria anaitwa T.B. Joshua, naye pia alitabiri kuwa corona ingekwisha mwishoni wa mwezi wa tatu lakini wapi. Wewe inabidi ukamatwe kwa kupotosha watu.
Utawasikia wakisema sijui ooooh! Nilimwelewa vibaya roho mtakatifu ndiyo maana haikuwa kama nilivyotabiri. Apo anatoka na movie part two.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ndo mawazo mazuri,wengine wanatamani watu wafe kwa maelfu ili wapate umaarufu wa kisiasa,
wanatabiri mabaya kwa tanzania yetu kuhusu covid 19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wote wanaougua ghafla watapona
Covid-19 itapita baada ya wiki mbili zijazo

Hapa ni kuonyesha kuwa mwenyezi Mungu ameruhusu tujaribiwe na shetani

Nina imani ugonjwa huu utawafanya watu kuacha dhambi Duniani kama ushoga, ugaidi na uonevu

Mungu amejidhihirisha kwamba huwa yupo anatulinda tena ulinzi mkali ametuonyesha kwamba akituacha adui yetu atatuangamiza.

Tumulilieni muumba hatukujiumba tuacheni ujuaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Covid-19 itapita baada ya wiki mbili zijazo

Hapa ni kuonyesha kuwa mwenyezi Mungu ameruhusu tujaribiwe na shetani

Nina imani ugonjwa huu utawafanya watu kuacha dhambi Duniani kama ushoga, ugaidi na uonevu

Mungu amejidhihirisha kwamba huwa yupo anatulinda tena ulinzi mkali ametuonyesha kwamba akituacha adui yetu atatuangamiza.

Tumulilieni muumba hatukujiumba tuacheni ujuaji
Nakubaliana na wewe 100% mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inapendeza kua na imani...

Ila washatathmini kwamba week mbili zijazo, Covid19 Africa italipuka vibaya sana...



Cc: mahondaw
 
Covid-19 itapita baada ya wiki mbili zijazo

Hapa ni kuonyesha kuwa mwenyezi Mungu ameruhusu tujaribiwe na shetani

Nina imani ugonjwa huu utawafanya watu kuacha dhambi Duniani kama ushoga, ugaidi na uonevu

Mungu amejidhihirisha kwamba huwa yupo anatulinda tena ulinzi mkali ametuonyesha kwamba akituacha adui yetu atatuangamiza.

Tumulilieni muumba hatukujiumba tuacheni ujuaji
Kweli mungu alibaki Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom