FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #261
Africa virus vinaambiwa No SignalMpaka sasa nchi 20 duniani zimethibitisha visa vya 'Coronavirus' katika nchi zao.
====
As of now 20 countries have confirmed Coronavirus cases:
[RT]
- China
- Thailand
- Japan
- Singapore
- Hong Kong
- Malaysia
- Macau
- Australia
- United States
- Vietnam
- France
- Germany
- UAE
- Canada
- Finland
- Sri Lanka
- Nepal
- India
- Philippines
- Cambodia
Ni Pale upo Darasani alafu mwalimu wa Hesabu kaleta matokeo ya Pepa anaanza kutoa adhabu kwa walio feli apo wewe ni kilaza unajijua kabisa unashangaa adhabu wanaanza wale vipanga wa darasa wewe hufikiwi...Nawasiwasi huenda vimefika Africa lakini hatuna uwezo kupima na kuvigundua.
Mkuu mgonjwa alie ambukizwa hiyo corona ana asilimia ngapi za kupona.Imefahamika kuwa virusi vya Corona huenea pia kwa njia ya hewa hususani majimaji katika hewa.
Utafiti mwingine pia umeonesha kuwa virusi hivi vyaweza kukaa mahali pa wazi kwa muda wa siku tisa.
====
Coronavirus is now confirmed airborne - Aerosol transmission.
The Coronavirus is now deadlier than SARS. The death toll has risen to more than 800 in about two months.
“Aerosol transmission refers to the mixing of the virus with droplets in the air to form aerosols, which causes infection after inhalation”.
Zeng Qun, deputy head of the Shanghai Civil Affairs Bureau, said confirmed transmission routes of the novel coronavirus include direct transmission, contact transmission, and aerosol transmission. Here's an explainer:
View attachment 1352040
Mpaka sasa hakuna tiba ya virusi hivyo iliyokwisha kugundulika.Mkuu mgonjwa alie ambukizwa hiyo corona ana asilimia ngapi za kupona.
Na je, kuna wagonjwa ambao wamepona na kuruhusiwa kurudi makwao ama wakipona wanakuwa kizuizini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah inasikitisha sana inahuzunisha mnoIn pics: Creative ways people came up with to protect themselves from coronavirus in China.
View attachment 1352637
View attachment 1352650
Wao wanataka wawauwe hao victims walipeleka maombi ya kuwauwa Lakini bado hawajajibiwa na mahakama.