mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Hakuna pia kiongozi wa upinzani anae miliki chama Kama Mali yake binafsi/Sacco's pia hakuna kiongozi wa chama alipata ziro mwenye masomo yakeJapan hakuna kiongozi mwenye PHD fake wala mkuu wa mkoa mwenye zero.