Hakuna pia kiongozi wa upinzani anae miliki chama Kama Mali yake binafsi/Sacco's pia hakuna kiongozi wa chama alipata ziro mwenye masomo yakeJapan hakuna kiongozi mwenye PHD fake wala mkuu wa mkoa mwenye zero.
Hakuna pia kiongozi wa upinzani anae miliki chama Kama Mali yake binafsi/Sacco's pia hakuna kiongozi wa chama alipata ziro mwenye masomo yake
generally speaking, mkakati wowote ili uwe effective ni lazima utengenezwe katika mazingira ya utulivu.Japan imeongeza siku za hali ya Hatari mpaka May 31 raia wake wameambiwa wakae tayari kuanza kuishi Maisha Na CoronaVirus. Waziri Mkuu Shinzo Abe anasema,"Nchi nzima ijitayarishe kuishi na Corona au Maisha na CoronaVirus, hali ikiendelea hivi hatuta weza kuendesha maisha yetu na uchumi, nitafanya ukaguzi tena may 14 ili tuone kama LockDown inaweza kutolewa mapema".
-
Abe anasema "Njia peke ya kupambana na corona ni kufata sheria zilizowekwa ili tuepuke mlipuko wa maambukizo yanayoonekana katika nchi zingine".
Ukiweza kustabilize maambukizi unaweza kuachia shughuli ziendelee kwa utaratibu maalum.Japan imeongeza siku za hali ya hatari mpaka May 31 raia wake wameambiwa wakae tayari kuanza kuishi maisha na CoronaVirus.
Waziri Mkuu Shinzo Abe anasema,"Nchi nzima ijitayarishe kuishi na Corona au maisha na CoronaVirus, hali ikiendelea hivi hatuta weza kuendesha maisha yetu na uchumi, nitafanya ukaguzi tena May 14 ili tuone kama LockDown inaweza kutolewa mapema".
Abe anasema "Njia pekee ya kupambana na corona ni kufata sheria zilizowekwa ili tuepuke mlipuko wa maambukizo yanayoonekana katika nchi zingine".
Kama kawaida yako!Viongozi wa dunia wanamuiga Magufuli
Mshindi wakati tumepoteza wapendwa wetu kizembe.Magufuli ni mshindi kwa hili janga
Ni swala la muda tu, tutaelewana
Lazima tutaishi na corona, shule, vyuo, mipira itachezwa tu, na corona itakuwepo
Na tuone nchi itakayo kaa lockdown hadi corona iishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuandika tu issueHakuna pia kiongozi wa upinzani anae miliki chama Kama Mali yake binafsi/Sacco's pia hakuna kiongozi wa chama alipata ziro mwenye masomo yake
Japan hakuna kiongozi mwenye PHD fake wala mkuu wa mkoa mwenye zero.
Hapa ndio mnapo feli misukule ya ufipa Corona kuigeuza siasa na ndipo walipo feli chadema na kuonekana wachawi ila sishangai hata mtumishi wa MUNGU kasema chadema Wana mapepo machafuPia hakuna wabunge watatu waliokufa kwa corona ndani ya siku 10
Ganja weed
Hapa ndio mnapo feli misukule ya ufipa Corona kuigeuza siasa na ndipo walipo feli chadema na kuonekana wachawi ila sishangai hata mtumishi wa MUNGU kasema chadema Wana mapepo machafu
Sawa mamaJapan hakuna kiongozi mwenye PHD fake wala mkuu wa mkoa mwenye zero.
na bado tunamshauri afungue shule mapemaJapan imeongeza siku za hali ya hatari mpaka May 31 raia wake wameambiwa wakae tayari kuanza kuishi maisha na CoronaVirus.
Waziri Mkuu Shinzo Abe anasema,"Nchi nzima ijitayarishe kuishi na Corona au maisha na CoronaVirus, hali ikiendelea hivi hatuta weza kuendesha maisha yetu na uchumi, nitafanya ukaguzi tena May 14 ili tuone kama LockDown inaweza kutolewa mapema".
Abe anasema "Njia pekee ya kupambana na corona ni kufata sheria zilizowekwa ili tuepuke mlipuko wa maambukizo yanayoonekana katika nchi zingine".
Mapepo yakamuondoa akawaacha chadema wapo wanadundaHapa ndio mnapo feli misukule ya ufipa Corona kuigeuza siasa na ndipo walipo feli chadema na kuonekana wachawi ila sishangai hata mtumishi wa MUNGU kasema chadema Wana mapepo machafu