Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.. ndo kwanza ninalisikia ili et. [emoji23][emoji23]Popo wanaliwa toka Enzi na Enzi,wala tusiende mbali, Pemba tu hapo popo analiwa Hadi leo hii,
Wapemba msione aibu kulisema hili. Nimekuwa huko na nimelishudia mimi mwenyewe.
Ukirudi bongo inabidi tukuweke kwanza gerentini wiki mbili!Mbappe yupo Paris huko ni mbali. Mimi nipo Nice Côte d'azur. Hata ndege kurudi Bongo nitapandia hapa hapa côté d'azur.
Hivi ina maana Korea kaskazini, urusi, Marekani na Ujerumani huu ugonjwa bado haujafika...!??
Sent using Jamii Forums mobile app
kaamua wagawane hasara[emoji2][emoji2][emoji2]mzungu nae anaipata pata freshi.
Mchina sio ntuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ugonjwa kama kweli ni biological weapons from USA basi USA atakuwa kakosea saana kuwatupia Iran wana msemo wao maarufu kuwa "kila pigo litajibiwa kikamilifu"Unatamani IRAN Wote Wapate Hayo Maradhi MKUU[emoji16][emoji16][emoji16]
All In All Hajui nani kawaambukiwa hao wagonjwa hapa ulikua namaana gani mkuu ?!....
Sent using Jamii Forums mobile app