Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Kwan HIV Wakati Inaripuka MUNGU Alikua Hajamaliza Uumbaji ?!

Wakati EBOLA Inaripuka Nayo Ilikuaje ?!

Wakati Malaria Yanazuka Ilikuaje
Hili ni wazo lako , na kama wamepata ugonjwa ambao hawakui kuupata , hata huo utakua man made , Mungu haumbi tena , alishamaliza , kiumbe kipya kinachokuja chenye uhai n mikono ya binadamu... Mengine hua n genetic modified yaweze kua lethal zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
Ama ulishawahi Kusikia Kina Yesu Huko Wanaugua Maradhi yaajabu ajabu kama hayo


Nandio maana yanaitwa maradhi ama magonjwa yamripuko kwasababu awali hayakuwepo ila kuna uwezekano muda wowote yanatifuka tuu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala popo hawajaanza zaman sana na pia wala nyoka
Na kuna magonjwa yanakuwepo ila yanabadirika kutokana na evolution
Ila tatizo linakuja pale mutation inapotokea,
Ndo maana ata kuna paka mdogo na paka Simba
Magonjwa haya hivi vijidudu vinabadirika kutokana ja evolution kama viumbe vyote
Vinaitwq corona virus kutokana na aina ya hivi vijidudu na orijin yake yaan ni common ila aina hyo ni tofauti na vilivyozoeleka

Kakupa mfano mzr
Ni binadam wachache sana wana ebola, ila elliens wangekuwa wanakula binadam siku wakila mtu mwenye ebora (ambao ni watu wachache wenye nao) basi kizazaa kitatokea uko kwao
Same applies,
Though usemavyo napo ni possibility imetengenezwa
Hakuna ajuae
Kaeleza nini ? Hebu dadavua , kwamba kitoweo mtumie tokea miaka ya 30 huko kije kilete madhara 2020 ?? Almost miaka 100 ??? And you are buying into that idea ???

Alafu sio mtu mmoja n taifa, mfano wake ungekua na maana kama angeathirika mtu mmoja tu , taifa Hilo Hilo waathirika Zaid ya watu 70000, in space of two months, kwann wasidhurike muda woooote huo ?? Be smart like your smartphone bro

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu na hao wengine wanaoambukizwa mfano Wataliano, wairaki, Wairani nao wanakula popo?
Kaeleza nini ? Hebu dadavua , kwamba kitoweo mtumie tokea miaka ya 30 huko kije kilete madhara 2020 ?? Almost miaka 100 ??? And you are buying into that idea ???

Alafu sio mtu mmoja n taifa, mfano wake ungekua na maana kama angeathirika mtu mmoja tu , taifa Hilo Hilo waathirika Zaid ya watu 70000, in space of two months, kwann wasidhurike muda woooote huo ?? Be smart like your smartphone bro

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It only take one social person for the desease to spread worldwide
Especially this
Kaeleza nini ? Hebu dadavua , kwamba kitoweo mtumie tokea miaka ya 30 huko kije kilete madhara 2020 ?? Almost miaka 100 ??? And you are buying into that idea ???

Alafu sio mtu mmoja n taifa, mfano wake ungekua na maana kama angeathirika mtu mmoja tu , taifa Hilo Hilo waathirika Zaid ya watu 70000, in space of two months, kwann wasidhurike muda woooote huo ?? Be smart like your smartphone bro

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan HIV Wakati Inaripuka MUNGU Alikua Hajamaliza Uumbaji ?!

Wakati EBOLA Inaripuka Nayo Ilikuaje ?!

Wakati Malaria Yanazuka Ilikuaje Ama ulishawahi Kusikia Kina Yesu Huko Wanaugua Maradhi yaajabu ajabu kama hayo


Nandio maana yanaitwa maradhi ama magonjwa yamripuko kwasababu awali hayakuwepo ila kuna uwezekano muda wowote yanatifuka tuu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
All those are man made

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Science ya humans kama hufatilii haijafikia kama unavyodhani
How can you genetic engineer something with no DNA???
What humans are good at is spreading something thats already there
Ndo maana adi leo hamna dawa indipendent inayopigana na wadudu ata bacterias
Si janga la asili , labda nikuulize , Kwani Mungu bado anaendelea na uumbaji ??

Hawa wadudu ni mikono ya binadamu, wanafanya genetic modifications wanayaachia , shida inakua kama hivi.... Kuna kitabu kama nikikumbuka nitakileta hapa..kinahusu Mossad..shirika la kijasus la Israel.. virusi vya Ebola walikua navyo kabla hata havijawahi reportiwa popote dunia kama vimeleta maafa , na hata hapa naamini Wana magonjwa mengine mengi tu deadly na lethal kuliko hata huu..ni swala la muda tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UPDATE: Hali ilivyo nchini Italia baada ya kuzuka kwa kasi kubwa kwa maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo

Manunuzi ya mapema ya bidhaa mbalimbali hususani vyakula yamekuwa makubwa isivyo kawaida katika maduka na masoko kutokana na mlipuko wa virusi hivyo hususani katika maeneo yaliyoathirika zaidi.

ita4.jpg
ita5.jpg
ita6.jpg
ita7.jpg
ita3.jpg
 
UPDATE: Italia

Visa vipya 19 vimeripotiwa na kufikisha jumla ya visa 219 nchini humo hadi sasa huku kukiwa na uwezekano wa visa vipya kuongezeka zaidi.
 
UPDATE: Hali ilivyo nchini Italia baada ya kuzuka kwa kasi kubwa kwa maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo

Manunuzi ya mapema ya bidhaa mbalimbali hususani vyakula yamekuwa makubwa isivyo kawaida katika maduka na masoko kutokana na mlipuko wa virusi hivyo hususani katika maeneo yaliyoathirika zaidi.

View attachment 1367879View attachment 1367880View attachment 1367883View attachment 1367885View attachment 1367886
Duh noma kweli ili wakae ndani wajifungie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom