Hapana,
Katika kufatilia alliens , sikuwahi kufahamu kama wanakula binadamu. Ni story mpya .
Na nahisi si sahihii.
ALLIENS SIYO CANIVORES.
Alafu wamnakuja duniani kwa special mission zao. Na siyo kuwinda binadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
ila hao walokutwa na VIRUS wameingia toka IRAN inamaa wamepimwa uwanjani hawajaingia mitaani Oman so labda ndo tutapata majibu
Yaani hata kukaa kwenye kiti alichokalia muathirika wa Corona unapata!!!?ila hao walokutwa na VIRUS wameingia toka IRAN inamaa wamepimwa uwanjani hawajaingia mitaani Oman so labda ndo tutapata majibu
mana shida inakuja walivyokuwa kwenye ndege hiyo si kausambaza na huyu mjomba kwa mujibu wa utafiti yeye akikupata leo na leo hii unaanza ambukiza wenzio dah hatari kubwa sana yaan
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata kukaa kwenye kiti alichokalia muathirika wa Corona unapata!!!?
Hii hatari sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliens ni wale pandikzi kutokana na Vampire, ikumbukwe kuwa Vampires wamewahi ku exist hapa duniani kwa baadhi ya nchi ila wametoweka.
Hapana,
Katika kufatilia alliens , sikuwahi kufahamu kama wanakula binadamu. Ni story mpya .
Na nahisi si sahihii.
ALLIENS SIYO CANIVORES.
Alafu wamnakuja duniani kwa special mission zao. Na siyo kuwinda binadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehhe hakika MkuuHuu ugonjwa kama kweli ni biological weapons from USA basi USA atakuwa kakosea saana kuwatupia Iran wana msemo wao maarufu kuwa "kila pigo litajibiwa kikamilifu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua hilo nimelihisi mm 2 jamaa anatoa habari kwa anavyona na anavyopenda yeye sio kwa uhalisia.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa comedy saaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawachina wanayo mkuu wana iita flu ila bado sijaicheki ila nishaiona ipo