Naiona Afrika kwa mbaliFAHAMU: Nchi zilizothibitisha visa vya kwanza vya COVID-19 ndani ya saa 24 zilizopita;
- Brazil
- Pakistan
- North Macedonia
- Greece
- Georgia
- Algeria
Asante kwa update mkuu. Hivi kwa level ya janga China inaweza kuwa imeomba msaada WHO ,hivyo tukapata takwimu sahihi? Kuna mahojiano na mchina USA, kasema hali ni mbaya sana China maambukizo na vifo yapo digit za millionUPDATE: Wizara ya afya ya China imeripoti visa vipya 433 pamoja na vifo vipya 29 nchini humo.
Ongezeko hilo linapelekea idadi ya visa vyote ulimwenguni kufikia 82,147 huku idadi ya vifo vyote kutokana na virusi vya Corona ikifikia 2,772 duniani kote kwa mujibu wa takwimu rasmi.
Nimeshangaa Iona Hapo , mm nijuaga ipo huku tuMkuu kama umekusudia uwepo wa hospital ya Agakhan Ile Ipo Sehemu Nyingi Zadunia Kama Sio Zote(Kila Taifa Duniani)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hizi habari nimezisikia. Inadaiwa idadi ya vifo ni kubwa mnoo japo china imekua ikitoa takwimu ndogo.Asante kwa update mkuu. Hivi kwa level ya janga China inaweza kuwa imeomba msaada WHO ,hivyo tukapata takwimu sahihi? Kuna mahojiano na mchina USA, kasema hali ni mbaya sana China maambukizo na vifo yapo digit za million
Sent using Jamii Forums mobile app
inaweza kuw kweri 7bu iran atataka haioneshe dunia anaweza halafu dawa ikiwa confmed anaweza azisha propaganda marekani ndo kasambaza makusudi
ili tu apatwe kuungwa mkono na mataifa mengi
na hata km bado atapigana kufapona apate dawa ili ajiongezee credit sasa hiyo itakuwa manufaa kwetu sisi maskini afrcakabla ugonjwa haujafika papa mapao hapo sasa iran ndo anapataka kuoneshana umwamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
mwamba hongera sana kwa kazi ya kutuhabarisha ila samahani ningependa kufahamu izi taarifa huwa unazipata wapi na kuhakikisha kuwa ni za kweliUPDATE: Korea Kusini
Visa vipya 334 vimeripotiwa nchini humo na kufikia jumla ya visa 1,595.
Kifo kipya (1) kimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya vifo 13 hadi sasa.
Mazoezi ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Marekani yaliyopangwa kufanyika hivi karibuni yameghairishwa mpaka hapo baadaye kutokana na mlipuko wa virusi vya Corona nchini humo.
Ubaya wa hiikitu ukigindulika then kuna possibility yakuwa umesha ambukiza wengina ambaonao bado hawaja gundulika.UPDATE: Kisa kimoja na cha kwanza kimeripotiwa nchini Denmark.
Nimejaribu kutafakari nimekosa majibu kwann wakenya wanataka kuhatarisha maisha yetu jamani hv umoja wa east africa hawaliona hili au
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Iliopo Hapo Nchini Kwako Ni Miongoni Mwamatawi Yake Tu Makao Makuu INDIA Halafu Ipo Pande Mingi Sana Zadunia Mataifa Mengi Sana Kama Sio Yote Duniani
Litapita tu hili soonIran
Wizara ya Afya imetangaza ongezeko la vifo kufikia 22
Waambukizwa wafikia 141.
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona virus imechelewa Sana kufika Africa.. tunaisubiri kwa hamu ituue sote sisi kizazi kilichofeli ili Kianze kizazi kipya chenye mawazo mapya.
Please Corona virus clear this unsophisticated generation to make way for the smart generation.
Take us to the finish line virus.
Don't worry we are waiting patiently for your visitation.
Love.
Sent using Jamii Forums mobile app