raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
hii sasa ni balaa ikiendelea hv dunia inaweza kusimama kila mtu akae kwake🤔🤔🤔🤔
Usiogope kaka, itaanza na yeyeNimeshangaa kuna watu wamekupa like aisee.
We kama umechoka kuishi ni wewe peke yako tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi virusi ni hatari ,China
Asilimia 14 ya walioruhusiwa kutoka Hospital wagundulika kuugua Corona tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani yaiondolea Iran vikwazo ili iweze kuagiza vifaa vya kibinadamu kujilinda na Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Thx mkuu unaongeza hadhi ya JFTaarifa ni kutoka katika vyanzo mbalimbali vya kuaminika;
Takwimu ama ripoti zote ninazozileta humu zenye utangulizi "BREAKING", "UPDATE" au mara nyingine "NEW/MPYA" mwanzoni mwa taarifa hizo, ni rasmi na zimethibitishwa na mamlaka za sehemu husika ama taasisi zenye dhamana.
- Vyombo mbalimbali vya habari duniani (News Media).
- Mamlaka za nchi husika (Taasisi/Wizara za afya n.k. kupitia tovuti)
- Taasisi za kimataifa. WHO n.k.
- Vyanzo vingine
Taarifa zenye utangulizi "NEWS ALERT" ni kutoka katika media ama vyombo mbalimbali vya habari vya kuaminika.
Eeh Mungu tunusuru sisi black creatures
Hadi sasa hakuna mwafrika alieumwa isipokuwa yule jamaa wa Cameron kule China lakini alipona haraka saana na kuwa discharged hospitalini.
Italia wanasikitisha saana watu wamenunua msosi wote huko supermarket na kujifungia ndani.Italy
Vimetokea vifo Vitatu hivyo kufikisha vifo 17.
Maambukizi yamefikia watu 650 Italia
Sent using Jamii Forums mobile app
hii sasa ni balaa ikiendelea hv dunia inaweza kusimama kila mtu akae kwake[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
hii sasa ni balaa ikiendelea hv dunia inaweza kusimama kila mtu akae kwake[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nakuunga mkono, jamaa anawajibika, hii ni zaidi ya kazi ya Mungu.
Mimi taarifa zote za janga hili nafuatilia uzi huu
Hongeda zake nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app