FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #1,301
Halaf wewe ndio unasema kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwache tuje tumpe kifi..rotoa upuuzi wako wa siasa mkuu huu uzi ni siriazi sana ndugu ndo mana unaona hakuna mtu alieleta habari za siasa katika huu uzi tumia ubongo wako vizuri kabla hujapost pumba
Sent using Jamii Forums mobile app
What a stupid!!!
Na takwmu hazifiki zote.. kumbuka Kuna kupika data kwa ajili ya propaganda maana hii Ni Vita ya kibiolojia.UPDATE: Hadi sasa, visa vipatavyo 85,181 vimeripotiwa ulimwenguni huku idadi ya waliokufa kutokana na virusi vya COVID-19 ikifikia 2,923 duniani kote kulingana na takwimu rasmi.
Mkuu unaposema "recovered" unamaanisha wamepata matibabu wakapona?UPDATE: China
- 79,251 confirmed cases
- 2,835 deaths
- 7,664 in serious condition
- 1,418 suspected
- 39,002 recovered
TAARIFA ZA HIVI PUNDE.
MTALII MMOJA RAIA WA CHINA AMEWEKWA CHINI YA UANGALIZI MAALUM KWENYE HOTEL YA RIVER TREE ILIYOPO USA RIVER ARUSHA, BAADA YA KUWA NA DALILI ZOTE ZA UGONJWA WA CORONA. MADAKTARI KUTOKA HOSPITALI YA WILAYA TENGERU NA HOSPITALI YA MKOA YA MOUNT MERU WAMESHAFIKA KWENYE HOTEL YA RIVER TREE MUDA HUU.
Jamani Tumuombe Mungu waTanzania tutakwusha
C&P
Sent using Jamii Forums mobile app
T[emoji23][emoji23][emoji23] we mdau n comedy kinomaUPDATE
Abu Dhabi
Hoteli mbili zawekwa katika kwarantini baada ya Waitaliano Wawili kukutwa na maambukizi ya Virus vya Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naishi haya maeneo sijajua ni ukweli au la ila hili swala limeshapingwa ....sina uakika serikali yetu inafichaga mambo kweliTAARIFA ZA HIVI PUNDE.
MTALII MMOJA RAIA WA CHINA AMEWEKWA CHINI YA UANGALIZI MAALUM KWENYE HOTEL YA RIVER TREE ILIYOPO USA RIVER ARUSHA, BAADA YA KUWA NA DALILI ZOTE ZA UGONJWA WA CORONA. MADAKTARI KUTOKA HOSPITALI YA WILAYA TENGERU NA HOSPITALI YA MKOA YA MOUNT MERU WAMESHAFIKA KWENYE HOTEL YA RIVER TREE MUDA HUU.
Jamani Tumuombe Mungu waTanzania tutakwusha
C&P
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikuwa chai eti?Iran wamegundua dawa na taari kuna mgonjwa mmoja ametibiwa amepona, hio pic apo wanashereheka kwa kufanikiwa kupona mgonjwa kwa hio dawaView attachment 1368922
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa imekanushwaMimi naishi haya maeneo sijajua ni ukweli au la ila hili swala limeshapingwa ....sina uakika serikali yetu inafichaga mambo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
ayayayayaya.. aisee aiseeBREAKING: Korea Kusini imethibitisha visa vipya 594 nchini humo na kufikisha jumla ya visa 2,931 huku vifo 16 vikiripotiwa hadi sasa.