Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

[emoji51][emoji51][emoji51]
Screenshot_20200303-183048-picsay.jpeg
 
Inabidi nchi za kiafrica zifanye confirmation haraka kujua kama huu ugonjwa hautuathiri sisi ngozi nyeusi ili itumie hii fursa kuwapeleka vijana wetu wakapige kazi huko china na nchi zilizoathiriwa.
Inawezekana hii ndio fursa ya pekee iliyoletwa na Mungu ili kumkomboa mwafrica kutoka kwenye lindi la umaskini
 
Inabidi nchi za kiafrica zifanye confirmation haraka kujua kama huu ugonjwa hautuathiri sisi ngozi nyeusi ili itumie hii fursa kuwapeleka vijana wetu wakapige kazi huko china na nchi zilizoathiriwa.
Inawezekana hii ndio fursa ya pekee iliyoletwa na Mungu ili kumkomboa mwafrica kutoka kwenye lindi la umaskini
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]Aisee kwakwel, wazo lako ukilifikiria mara 3 linamantic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi nchi za kiafrica zifanye confirmation haraka kujua kama huu ugonjwa hautuathiri sisi ngozi nyeusi ili itumie hii fursa kuwapeleka vijana wetu wakapige kazi huko china na nchi zilizoathiriwa.
Inawezekana hii ndio fursa ya pekee iliyoletwa na Mungu ili kumkomboa mwafrica kutoka kwenye lindi la umaskini
Hawawezi kuongea lolote bila uthibitisho wa sampuli zaidi ya 20

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu ugonjwa kwakweli umeua watu wengi mpaka sasa hususan uko china ila sidhani kama ni sawa mtu mmoja kuingia katika nchi mfano africa akiwa na ugonjwa alafu inatangazwa kama kwamba ndo umeshaenea maeneo yote katika nchi husika.
 
Huu ugonjwa huko China haujaanza jana wala juzi, hadi China inautangazia ulimwengu kuwa kuna tatizo la Corona, ni dhahiri kabisa ni baada ya kulemewa na kuanza kusambaa kwa taarifa mitandaoni ndio wakaamua sasa kusema,muda wanaongea huenda tatizo limeshazunguka dunia nzima.

Ni kwamba nilikuwa China mwezi Septemba jimbo moja la Kunming, wakati naondoka Airport ya Bejing Kwenda jimbo la Kunming ndani ya ndege nilishuhudia hali mbaya sana ya afya za abiria wa kichina,walikuwa wakikohoa na makohozi hadi najisikia vibaya,nikishindwa hata kupata breakfast humo,hali hy niliikuta pia kwenye flight to Kunming kwenda Gasa...nikajua ni homa ya mapafu na koo labda kwa vile wachina wanavuta sigara sana.

Niliporudi hapa bongo niliugua sana madonda ya kooni na homa kali baada ya wiki moja mke wangu akaugua na wanangu wawili kwa pamoja,japo wote walipona homa ileile....sasa baada ya ugonjwa ule kutajwa nilipoangalia dalili,ni zilezile.....CORONA...

Ugonjwa humu nchini upo,sema tu huenda kweli waafrika tupo tolerant na ugonjwa huo,ugonjwa huu utakuwa umesambaa dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ugonjwa huko China haujaanza jana wala juzi, hadi China inautangazia ulimwengu kuwa kuna tatizo la Corona, ni dhahiri kabisa ni baada ya kulemewa na kuanza kusambaa kwa taarifa mitandaoni ndio wakaamua sasa kusema,muda wanaongea huenda tatizo limeshazunguka dunia nzima.

Ni kwamba nilikuwa China mwezi Septemba jimbo moja la Kunming, wakati naondoka Airport ya Bejing Kwenda jimbo la Kunming ndani ya ndege nilishuhudia hali mbaya sana ya afya za abiria wa kichina,walikuwa wakikohoa na makohozi hadi najisikia vibaya,nikishindwa hata kupata breakfast humo,hali hy niliikuta pia kwenye flight to Kunming kwenda Gasa...nikajua ni homa ya mapafu na koo labda kwa vile wachina wanavuta sigara sana.

Niliporudi hapa bongo niliugua sana madonda ya kooni na homa kali baada ya wiki moja mke wangu akaugua na wanangu wawili kwa pamoja,japo wote walipona homa ileile....sasa baada ya ugonjwa ule kutajwa nilipoangalia dalili,ni zilezile.....CORONA...

Ugonjwa humu nchini upo,sema tu huenda kweli waafrika tupo tolerant na ugonjwa huo,ugonjwa huu utakuwa umesambaa dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi tukutane tukuweke kwenye quarantine
 
Huu ugonjwa huko China haujaanza jana wala juzi, hadi China inautangazia ulimwengu kuwa kuna tatizo la Corona, ni dhahiri kabisa ni baada ya kulemewa na kuanza kusambaa kwa taarifa mitandaoni ndio wakaamua sasa kusema,muda wanaongea huenda tatizo limeshazunguka dunia nzima.

Ni kwamba nilikuwa China mwezi Septemba jimbo moja la Kunming, wakati naondoka Airport ya Bejing Kwenda jimbo la Kunming ndani ya ndege nilishuhudia hali mbaya sana ya afya za abiria wa kichina,walikuwa wakikohoa na makohozi hadi najisikia vibaya,nikishindwa hata kupata breakfast humo,hali hy niliikuta pia kwenye flight to Kunming kwenda Gasa...nikajua ni homa ya mapafu na koo labda kwa vile wachina wanavuta sigara sana.

Niliporudi hapa bongo niliugua sana madonda ya kooni na homa kali baada ya wiki moja mke wangu akaugua na wanangu wawili kwa pamoja,japo wote walipona homa ileile....sasa baada ya ugonjwa ule kutajwa nilipoangalia dalili,ni zilezile.....CORONA...

Ugonjwa humu nchini upo,sema tu huenda kweli waafrika tupo tolerant na ugonjwa huo,ugonjwa huu utakuwa umesambaa dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe dariri na wewe ulitumia nini kiongozi
 
Huu ugonjwa huko China haujaanza jana wala juzi, hadi China inautangazia ulimwengu kuwa kuna tatizo la Corona, ni dhahiri kabisa ni baada ya kulemewa na kuanza kusambaa kwa taarifa mitandaoni ndio wakaamua sasa kusema,muda wanaongea huenda tatizo limeshazunguka dunia nzima.

Ni kwamba nilikuwa China mwezi Septemba jimbo moja la Kunming, wakati naondoka Airport ya Bejing Kwenda jimbo la Kunming ndani ya ndege nilishuhudia hali mbaya sana ya afya za abiria wa kichina,walikuwa wakikohoa na makohozi hadi najisikia vibaya,nikishindwa hata kupata breakfast humo,hali hy niliikuta pia kwenye flight to Kunming kwenda Gasa...nikajua ni homa ya mapafu na koo labda kwa vile wachina wanavuta sigara sana.

Niliporudi hapa bongo niliugua sana madonda ya kooni na homa kali baada ya wiki moja mke wangu akaugua na wanangu wawili kwa pamoja,japo wote walipona homa ileile....sasa baada ya ugonjwa ule kutajwa nilipoangalia dalili,ni zilezile.....CORONA...

Ugonjwa humu nchini upo,sema tu huenda kweli waafrika tupo tolerant na ugonjwa huo,ugonjwa huu utakuwa umesambaa dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
sahihi mkuu nakumbuka mwezi wa 11 kwenda 12 nilipigwa na mafua makali mpk viungo vikawa havikunji nikawekwa mapumziko mida saa 5 usiku kidspensary cha mtaani pima marelia hakuna lkn homa haishuki jasho linanitililika pua zimebana mbavu zinauma pumzi tabu kupumua haitoki nikahisi nakufa mana sikuwahi kukutana na mafua aina hiyo sasa sikutaka kulazwa mana ningekuwa lelemama ningetiwa drip nikarud home nikameza dawa za marelia zinaitwa ORODAR nikapiga dawa tatu tembe 2 na vidonge fulani vya pumu km ikibanaa sana
then nikavuta shuka nikalala kiubishi toka jasho sana baada masaa km manne homa ikadhuka viungo vikaachia
kesho yake ikawa ahuweni lkn jioni yake wife nae yeye akalazwa na drip akatiwa baada siku 2 ikampata mwanangu sema yeye haikumsumbua sana ila homa ndo ilikuwa shida
baada ya hapo ugonjwa ukahamia job ofisini nzima ikawpata kuna waliolaza na wengne ilikuwa kawaida
na kwakweli miezi hiyo mafua ya hivi yalisambaa sana mpk nakumbuka serikali ikatoa tamko kuhusu haya mafua mana hali ilikuwa tete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ugonjwa huko China haujaanza jana wala juzi, hadi China inautangazia ulimwengu kuwa kuna tatizo la Corona, ni dhahiri kabisa ni baada ya kulemewa na kuanza kusambaa kwa taarifa mitandaoni ndio wakaamua sasa kusema,muda wanaongea huenda tatizo limeshazunguka dunia nzima.

Ni kwamba nilikuwa China mwezi Septemba jimbo moja la Kunming, wakati naondoka Airport ya Bejing Kwenda jimbo la Kunming ndani ya ndege nilishuhudia hali mbaya sana ya afya za abiria wa kichina,walikuwa wakikohoa na makohozi hadi najisikia vibaya,nikishindwa hata kupata breakfast humo,hali hy niliikuta pia kwenye flight to Kunming kwenda Gasa...nikajua ni homa ya mapafu na koo labda kwa vile wachina wanavuta sigara sana.

Niliporudi hapa bongo niliugua sana madonda ya kooni na homa kali baada ya wiki moja mke wangu akaugua na wanangu wawili kwa pamoja,japo wote walipona homa ileile....sasa baada ya ugonjwa ule kutajwa nilipoangalia dalili,ni zilezile.....CORONA...

Ugonjwa humu nchini upo,sema tu huenda kweli waafrika tupo tolerant na ugonjwa huo,ugonjwa huu utakuwa umesambaa dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana,je ulitumia dawa gani kusaidia watu endapo ukifika japo hatuombei ufike kwetu.
 
UPDATE: Visa vya kwanza vya COVID-19
  • Kisa cha kwanza (1) kimeripotiwa nchini Ukraine
  • Kisa cha kwanza (1) kimeripotiwa nchini Argentina
  • Kisa cha kwanza (1) kimeripotiwa nchini Chile
 
UPDATE: Ujerumani

Visa vipya 31 vimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 196 ambapo wagonjwa wapatao wawili (2) wakiwa katika hali mbaya zaidi huku wengine 16 wakiripotiwa kupata ahueni.

Mpaka sasa, Ujerumani haijaripoti kifo chochote kile kinachohusishwa na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) nchini humo.
 
UPDATE: Uingereza

Visa vipya 10 vimeripotiwa nchini Uingereza na kufikisha jumla ya visa 51 huku wagonjwa wapatao nane (8) wakiripotiwa kupata nafuu.

Mpaka sasa, Uingereza haijaripoti kifo chochote kile kinachohusishwa na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) nchini humo.
 
Back
Top Bottom