FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
- #1,541
UPDATE: Italia
Visa vipya 466 vimeripotiwa nchini Italia pamoja na vifo vipya 27 na kufikisha jumla ya visa 2,502 ambapo wagonjwa wapatao 140 wakiwa katika hali mbaya zaidi huku wengine 160 wakiripotiwa kupata nafuu.
Idadi ya vifo kutokana na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) nchini humo imefikia 79 hadi hivi sasa.
Visa vipya 466 vimeripotiwa nchini Italia pamoja na vifo vipya 27 na kufikisha jumla ya visa 2,502 ambapo wagonjwa wapatao 140 wakiwa katika hali mbaya zaidi huku wengine 160 wakiripotiwa kupata nafuu.
Idadi ya vifo kutokana na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) nchini humo imefikia 79 hadi hivi sasa.