Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Wazungu wakitafunwa wote mimi naenda zangu ujerumani namiliki nyumba ya makel na naenda spain kumiliki mali zote za messi hii ndo fursa kwa tusio na ajira.hapa sasa ndo unajua kbs kwa nini magu alikomaa tununue bombadia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nauli unayo[emoji16][emoji16][emoji16]
Wazungu wakitafunwa wote mimi naenda zangu ujerumani namiliki nyumba ya makel na naenda spain kumiliki mali zote za messi hii ndo fursa kwa tusio na ajira.hapa sasa ndo unajua kbs kwa nini magu alikomaa tununue bombadia
Salamayako ni kwasababu Africa kunajoto.Wazungu wakitafunwa wote mimi naenda zangu ujerumani namiliki nyumba ya makel na naenda spain kumiliki mali zote za messi hii ndo fursa kwa tusio na ajira.hapa sasa ndo unajua kbs kwa nini magu alikomaa tununue bombadia
Salamayako ni kwasababu Africa kunajoto.
Virusi vinafanya kazi katika nchi hizo sababu kuna baridi, sasa wewe anataka kwenda kujiua amavipi.
Wewe ni kichaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikawaida hua zinajoto ila sio kwakipindi hiki toka january mpaka sasa baridi tena kaliIran
Saudi Arabia
Kuwait
Bahrain
India
Moroco
Algeria
Tusinia
Hizi zote zina joto Dar cha mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
C nasikia wayahudi wa Israel washaipata dawa sasa hawa wataliano wanaugomvi gani nawayahudi mbna hawapatiwi dawa asee[emoji4]Italy
Serikali ya Italia imefunga shule na vyuo vyote ili kukabiliana na maambukizi.
Italy ina vifo 79 vya covid 19
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mnakufa kama kuku pori huko maana hela zote mmetumia piga mabomu IraqC nasikia wayahudi wa Israel washaipata dawa sasa hawa wataliano wanaugomvi gani nawayahudi mbna hawapatiwi dawa asee[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro mm nimeuliza tu mbna unapanic [emoji16][emoji16]Naona mnakufa kama kuku pori huko maana hela zote mmetumia piga mabomu Iraq
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya mbinu zinazotumika kujilinda na corona virusView attachment 1376896View attachment 1376897View attachment 1376898View attachment 1376899View attachment 1376900View attachment 1376901View attachment 1376903
Sent using Jamii Forums mobile app
haha hadi paka😷😷😷😷😷Duuuuuhhh aiseee........naona style mbali mbali hapo,, sijui ntapendelea kutumia ipi ikitokea bahat mbaya ugonjwa ukatujia??
Sent using Jamii Forums mobile app