Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Hakuna kitu kizuri kama ukiamua jifunza mkuu , upeo wako wa kufikiri usidhani dunia ndio imeishia hapo , siko kwenye mood ya kuandika ila nitaandika summary kwa uchache sana zikufungue kidogo , na ukitoka hapa ukasome

Kwamba hatuna dawa wala kinga ila mtu anaponaje ponaje , leo ukiugua ugonjwa wowote unaosababishwa na parasites, bakteria au worms au fangasi , unapata dawa hakuna shida .. ila upande wa virusi hua inatokea nini ??

naomba ieleweke kwanza hii ni virusi wote sio korona pekee ,sio jamii moja , virusii wote hakuna dawa, na hii husabishwa na sifa yao kuu , wanaishi mazingira yote , mfu na hai , lakn pia wana uwezo mkubwa sana wa kutengeneza resistance na mambo mengine kadhaa wa kadhaa (ukasome)

HUA KINAFANYIKA NINI SASA ENDAPO MWILI WAKO UKIVAMIWA NA VIRUSI

hua kuna counter measure zinatumika ..mfano , virusi kwa asilimia kubwa hua wanashambulia mifumo mbali mbali ya mwili , ambayo mwsho wa siku husababisha hiyo mifumo ifeli au wewe kupata magonjwa nyemelezi , so hua wanafanya nini
- Kwenye seli zako za mwili , ili ziweze pokea kitu chochote, iwe kirusi au bakteria lazima kuwepo mlango wa kuingia , milango hii huitwa receptors au protein, na kama unavyo faham , virusi hua vinafanya kazi vikiwa ndani ya seli , ..wataalamu wanacho fanya hapa , hua wanaua hizo receptors , ili kirusi kisiendelee kuvamia seli , so hapo seli zako tayari ziko salama, immune system yako inasalimika

pia , dawa ya kuwaua hatuna ila tunaweza wazuia wasiendelee ongezeka ndani ya mwili ...hatua nyingine hiyo

kuwaua hawawezi ila wanaweza wafubaza hivyo unawapunguzia uwezo wao wa kutenda kazi na kulela madhara

pia , vinanyimwa uwezo wa kuendelea kufanya madhara endapo wakitoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

..wanatibu magonjwa nyemelezi ambayo mara nyingi ndio yanayo ua watu kwasababu kirusi kishamaliza mfumo wa ulinzi wa mwili, na mambo mengine mengi mengi... preventive measure kibao huko nje


sehemu kubwa ya vita dhidi ya kirusi inategemea wewe mwenyewe immune system yako ikoje , kama ni imara , wakafanya counter measures hizo unapona

na mambo mengine mengi mengi tuuu , nadhan kwa kias fulan nimekufungua macho ni namna gani wana dili na ebola , corona na the likes na inakuaje watu wanapona , na hata kwa vile virusi vilisivyo pona , wanapambana kuvinyamazisha kwa mifumo hii hii , hadi vitulia tulii , unaishi miaka 20 unavyo .

anyway..endelea kuungana na huyo jamaa, mnadhani upeo wenu wa kufikiri ulipo ishia basi na dunia imeishia hapo hapo , muwe na siku njema

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikitulia ntalipitia hili gaazeti maaana naliona lina mafacts hapa ndani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FAHAMU: Visa vya COVID-19 hadi sasa barani Afrika.

Nchi zipatazo nane (8) zimethibitisha visa vya COVID-19 barani Afrika hadi hivi sasa huku nchi nne (4) kati ya hizo ni zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).

Nchi hizo ni; Algeria, Senegal, Misri, Morocco, Cameroon, Nigeria, Tunisia pamoja na Afrika Kusini.

Idadi ya visa barani humo ni kama ifuatavyo;

1. Algeria: Visa 17 hadi sasa vimeripotiwa nchini humo.

2. Senegal: Nchi ya pili kwa kuripoti visa vingi zaidi barani Afrika. Hadi sasa imeripoti visa vinne (4).

3. Misri: Visa vitatu (3) vimeripotiwa nchini humo huku mmoja akithibitika kupata ahueni.

4. Morocco: Visa viwili (2) vimeripotiwa nchini humo hadi sasa.

5. Cameroon: Visa vya kwanza viwili (2) ambavyo ni raia wa kigeni (Ufaransa).

6. Nigeria: Kisa kimoja (1) tu kimeripotiwa nchini humo hadi sasa huku watu wengine kadhaa wakihofiwa kuwa na maambukizi.

7. Tunisia: Kisa kimoja (1) kimeripotiwa nchini humo hadi sasa.

8. Afrika Kusini: Kisa kimoja (1) tu hadi sasa kimeripotiwa nchini humo.

Taarifa zaidi zitafuata!

Cc: YOUNGBLOOD
 
Mkuu vipi kuhusu Nigeria? Sikuona update yake muda kidogo.
Kuhusu Nigeria; Idadi ya visa ni kile kile kimoja (1) kilichoripotiwa awali ingawa kuna watu kadhaa wanahofiwa kuwa na maambukizi ya COVID-19.

Updates zozote zitakazotoka hapo baadaye, nitazileta humu.
 
Asante sana mkuu,kazi nzuri.
FAHAMU: Visa vya COVID-19 hadi sasa barani Afrika.

Nchi zipatazo nane (8) zimethibitisha visa vya COVID-19 barani Afrika hadi hivi sasa huku nchi nne (4) kati ya hizo ni zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).

Nchi hizo ni; Algeria, Senegal, Misri, Morocco, Cameroon, Nigeria, Tunisia pamoja na Afrika Kusini.

Idadi ya visa barani humo ni kama ifuatavyo;

1. Algeria: Visa 17 hadi sasa vimeripotiwa nchini humo.

2. Senegal: Nchi ya pili kwa kuripoti visa vingi zaidi barani Afrika. Hadi sasa imeripoti visa vinne (4).

3. Misri: Visa vitatu (3) vimeripotiwa nchini humo huku mmoja akithibitika kupata ahueni.

4. Morocco: Visa viwili (2) vimeripotiwa nchini humo hadi sasa.

5. Cameroon: Visa vya kwanza viwili (2) ambavyo ni raia wa kigeni (Ufaransa).

6. Nigeria: Kisa kimoja (1) tu kimeripotiwa nchini humo hadi sasa huku watu wengine kadhaa wakihofiwa kuwa na maambukizi.

7. Tunisia: Kisa kimoja (1) kimeripotiwa nchini humo hadi sasa.

8. Afrika Kusini: Kisa kimoja (1) tu hadi sasa kimeripotiwa nchini humo.

Taarifa zaidi zitafuata!

Cc: YOUNGBLOOD
 
Miongoni mwa visa hivi yupo mtu mweusi?
FAHAMU: Visa vya COVID-19 hadi sasa barani Afrika.

Nchi zipatazo nane (8) zimethibitisha visa vya COVID-19 barani Afrika hadi hivi sasa huku nchi nne (4) kati ya hizo ni zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).

Nchi hizo ni; Algeria, Senegal, Misri, Morocco, Cameroon, Nigeria, Tunisia pamoja na Afrika Kusini.

Idadi ya visa barani humo ni kama ifuatavyo;

1. Algeria: Visa 17 hadi sasa vimeripotiwa nchini humo.

2. Senegal: Nchi ya pili kwa kuripoti visa vingi zaidi barani Afrika. Hadi sasa imeripoti visa vinne (4).

3. Misri: Visa vitatu (3) vimeripotiwa nchini humo huku mmoja akithibitika kupata ahueni.

4. Morocco: Visa viwili (2) vimeripotiwa nchini humo hadi sasa.

5. Cameroon: Visa vya kwanza viwili (2) ambavyo ni raia wa kigeni (Ufaransa).

6. Nigeria: Kisa kimoja (1) tu kimeripotiwa nchini humo hadi sasa huku watu wengine kadhaa wakihofiwa kuwa na maambukizi.

7. Tunisia: Kisa kimoja (1) kimeripotiwa nchini humo hadi sasa.

8. Afrika Kusini: Kisa kimoja (1) tu hadi sasa kimeripotiwa nchini humo.

Taarifa zaidi zitafuata!

Cc: YOUNGBLOOD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hadi sasa kuna mtu mweusi yeyote ameshafariki kwa hivyo virusi?
 
Hapo awali, Meya wa Wuhan, sehemu ambapo kirusi hiki kilianzia, alisema kuwa takribani watu milioni 5 wamekwisha ondoka mjini hapo licha ya zuio la kusafiri lililowekwa.

Hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa kuenea zaidi kwa maambukizi sehemu nyinginezo iwapo kama kulikuwepo na walioambukizwa kati ya hao walioondoka mjini hapo.

swali la ufahamu tu je kuna any reported and confirmed case ya mtu mweusi kufariki kutoka na huyo virus?!
 
UPDATE: Visa viwili (2) vya kwanza vilivyoripotiwa hapo awali nchini Cameroon ni raia wa Ufaransa huku kisa cha pili kikiwa ni raia wa nchini Cameroon.

Visa vyote viwili vinahusiana ambapo imeripotiwa kuwa, Mfaransa huyo aliingia nchini Cameroon mnamo mwezi Februari ambapo alikutana na raia huyo wa Cameroon.

Wote wawili wamekwisha tengwa katika sehemu maalumu katika hospitali moja mjini Yaounde, kulingana na taarifa kutoka Wizara ya afya ya Cameroon.
 
UPDATE: Visa viwili (2) vya kwanza vilivyoripotiwa hapo awali nchini Cameroon ni raia wa Ufaransa huku kisa cha pili kikiwa ni raia wa nchini Cameroon.

Visa vyote viwili vinahusiana ambapo imeripotiwa kuwa, Mfaransa huyo aliingia nchini Cameroon mnamo mwezi Februari ambapo alikutana na raia huyo wa Cameroon.

Wote wawili wamekwisha tengwa katika sehemu maalumu katika hospitali moja mjini Yaounde, kulingana na taarifa kutoka Wizara ya afya ya Cameroon.

nawasiwasi na huyo Mkameruni huenda ni Mkameruni mwenye asili ya Kifaransa.

ukupata kisa cha mtu mweusi (black skin) kufariki tafadhali nitag.
 
NEWS ALERT: Pope Francis will deliver Sunday's Angelus Prayer by livestream instead of in person out of concern over spreading the new coronavirus, the Vatican says. [AFP]
 
naiwe hivyo hivyo uthibitisho usipatikane kwa mtu mweusi...
maana mtu mweusi na mizigo mingi sana na ndio imemkomaza hata kuhimili baadhi ya infection ya virusi.
ha ha ha mkuu umenichekesha eti naiwe hivyo usipatikane
dah ! sema tuombe hilo janga iwe kweli halimuathili black people mana km ni kusema joto nchi zenye joto zisharepotiwa tayari kuwa na maambukizi
hvyo tuombe uwe ugonjwa wa wanaojiweza hao weupe
we fikilia hongkong tu imegawa zaidi ya mln 1 na ushehe kwa kila mwananchi wake zakujikimu
wkt ITARY yeye katenga zaidi ya trilion 17 kupambana kuhakikisha wananchi wake wanabaki salama
wkt hapa bongodasilamu likitokea tetemeko tu yeye hajaleta tetemeko na pesa za rambirambi zinaliwa
sasa ikija hiyo COVID-19 maiti si zitagaa mtaani tu mana tutakimbiana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NEWS ALERT: Kiongozi wa chama cha siasa cha Democratic cha nchini Italia ametangaza kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona.

Nicola Zingaretti, ambaye ni katibu mkuu wa chama hicho, ameyasema hayo baada ya kufanyiwa vipimo ambapo kwa sasa amejitenga.

1583586989494.png
 
NEWS ALERT: Italy recruits retired doctors to battle coronavirus crisis as deaths rise to 197. [Daily Mail]
 
Back
Top Bottom