Mkuu nikitulia ntalipitia hili gaazeti maaana naliona lina mafacts hapa ndani.....Hakuna kitu kizuri kama ukiamua jifunza mkuu , upeo wako wa kufikiri usidhani dunia ndio imeishia hapo , siko kwenye mood ya kuandika ila nitaandika summary kwa uchache sana zikufungue kidogo , na ukitoka hapa ukasome
Kwamba hatuna dawa wala kinga ila mtu anaponaje ponaje , leo ukiugua ugonjwa wowote unaosababishwa na parasites, bakteria au worms au fangasi , unapata dawa hakuna shida .. ila upande wa virusi hua inatokea nini ??
naomba ieleweke kwanza hii ni virusi wote sio korona pekee ,sio jamii moja , virusii wote hakuna dawa, na hii husabishwa na sifa yao kuu , wanaishi mazingira yote , mfu na hai , lakn pia wana uwezo mkubwa sana wa kutengeneza resistance na mambo mengine kadhaa wa kadhaa (ukasome)
HUA KINAFANYIKA NINI SASA ENDAPO MWILI WAKO UKIVAMIWA NA VIRUSI
hua kuna counter measure zinatumika ..mfano , virusi kwa asilimia kubwa hua wanashambulia mifumo mbali mbali ya mwili , ambayo mwsho wa siku husababisha hiyo mifumo ifeli au wewe kupata magonjwa nyemelezi , so hua wanafanya nini
- Kwenye seli zako za mwili , ili ziweze pokea kitu chochote, iwe kirusi au bakteria lazima kuwepo mlango wa kuingia , milango hii huitwa receptors au protein, na kama unavyo faham , virusi hua vinafanya kazi vikiwa ndani ya seli , ..wataalamu wanacho fanya hapa , hua wanaua hizo receptors , ili kirusi kisiendelee kuvamia seli , so hapo seli zako tayari ziko salama, immune system yako inasalimika
pia , dawa ya kuwaua hatuna ila tunaweza wazuia wasiendelee ongezeka ndani ya mwili ...hatua nyingine hiyo
kuwaua hawawezi ila wanaweza wafubaza hivyo unawapunguzia uwezo wao wa kutenda kazi na kulela madhara
pia , vinanyimwa uwezo wa kuendelea kufanya madhara endapo wakitoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
..wanatibu magonjwa nyemelezi ambayo mara nyingi ndio yanayo ua watu kwasababu kirusi kishamaliza mfumo wa ulinzi wa mwili, na mambo mengine mengi mengi... preventive measure kibao huko nje
sehemu kubwa ya vita dhidi ya kirusi inategemea wewe mwenyewe immune system yako ikoje , kama ni imara , wakafanya counter measures hizo unapona
na mambo mengine mengi mengi tuuu , nadhan kwa kias fulan nimekufungua macho ni namna gani wana dili na ebola , corona na the likes na inakuaje watu wanapona , na hata kwa vile virusi vilisivyo pona , wanapambana kuvinyamazisha kwa mifumo hii hii , hadi vitulia tulii , unaishi miaka 20 unavyo .
anyway..endelea kuungana na huyo jamaa, mnadhani upeo wenu wa kufikiri ulipo ishia basi na dunia imeishia hapo hapo , muwe na siku njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu Nigeria; Idadi ya visa ni kile kile kimoja (1) kilichoripotiwa awali ingawa kuna watu kadhaa wanahofiwa kuwa na maambukizi ya COVID-19.Mkuu vipi kuhusu Nigeria? Sikuona update yake muda kidogo.
FAHAMU: Visa vya COVID-19 hadi sasa barani Afrika.
Nchi zipatazo nane (8) zimethibitisha visa vya COVID-19 barani Afrika hadi hivi sasa huku nchi nne (4) kati ya hizo ni zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).
Nchi hizo ni; Algeria, Senegal, Misri, Morocco, Cameroon, Nigeria, Tunisia pamoja na Afrika Kusini.
Idadi ya visa barani humo ni kama ifuatavyo;
1. Algeria: Visa 17 hadi sasa vimeripotiwa nchini humo.
2. Senegal: Nchi ya pili kwa kuripoti visa vingi zaidi barani Afrika. Hadi sasa imeripoti visa vinne (4).
3. Misri: Visa vitatu (3) vimeripotiwa nchini humo huku mmoja akithibitika kupata ahueni.
4. Morocco: Visa viwili (2) vimeripotiwa nchini humo hadi sasa.
5. Cameroon: Visa vya kwanza viwili (2) ambavyo ni raia wa kigeni (Ufaransa).
6. Nigeria: Kisa kimoja (1) tu kimeripotiwa nchini humo hadi sasa huku watu wengine kadhaa wakihofiwa kuwa na maambukizi.
7. Tunisia: Kisa kimoja (1) kimeripotiwa nchini humo hadi sasa.
8. Afrika Kusini: Kisa kimoja (1) tu hadi sasa kimeripotiwa nchini humo.
Taarifa zaidi zitafuata!
Cc: YOUNGBLOOD
FAHAMU: Visa vya COVID-19 hadi sasa barani Afrika.
Nchi zipatazo nane (8) zimethibitisha visa vya COVID-19 barani Afrika hadi hivi sasa huku nchi nne (4) kati ya hizo ni zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).
Nchi hizo ni; Algeria, Senegal, Misri, Morocco, Cameroon, Nigeria, Tunisia pamoja na Afrika Kusini.
Idadi ya visa barani humo ni kama ifuatavyo;
1. Algeria: Visa 17 hadi sasa vimeripotiwa nchini humo.
2. Senegal: Nchi ya pili kwa kuripoti visa vingi zaidi barani Afrika. Hadi sasa imeripoti visa vinne (4).
3. Misri: Visa vitatu (3) vimeripotiwa nchini humo huku mmoja akithibitika kupata ahueni.
4. Morocco: Visa viwili (2) vimeripotiwa nchini humo hadi sasa.
5. Cameroon: Visa vya kwanza viwili (2) ambavyo ni raia wa kigeni (Ufaransa).
6. Nigeria: Kisa kimoja (1) tu kimeripotiwa nchini humo hadi sasa huku watu wengine kadhaa wakihofiwa kuwa na maambukizi.
7. Tunisia: Kisa kimoja (1) kimeripotiwa nchini humo hadi sasa.
8. Afrika Kusini: Kisa kimoja (1) tu hadi sasa kimeripotiwa nchini humo.
Taarifa zaidi zitafuata!
Cc: YOUNGBLOOD
ni aibu kwa mtu mweusi kufa kwa mafuaHivi hadi sasa kuna mtu mweusi yeyote ameshafariki kwa hivyo virusi?
Hapo awali, Meya wa Wuhan, sehemu ambapo kirusi hiki kilianzia, alisema kuwa takribani watu milioni 5 wamekwisha ondoka mjini hapo licha ya zuio la kusafiri lililowekwa.
Hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa kuenea zaidi kwa maambukizi sehemu nyinginezo iwapo kama kulikuwepo na walioambukizwa kati ya hao walioondoka mjini hapo.
[emoji23][emoji23] ambaye ni....MUNGU
UPDATE: Visa viwili (2) vya kwanza vilivyoripotiwa hapo awali nchini Cameroon ni raia wa Ufaransa huku kisa cha pili kikiwa ni raia wa nchini Cameroon.
Visa vyote viwili vinahusiana ambapo imeripotiwa kuwa, Mfaransa huyo aliingia nchini Cameroon mnamo mwezi Februari ambapo alikutana na raia huyo wa Cameroon.
Wote wawili wamekwisha tengwa katika sehemu maalumu katika hospitali moja mjini Yaounde, kulingana na taarifa kutoka Wizara ya afya ya Cameroon.
Hivi hadi sasa kuna mtu mweusi yeyote ameshafariki kwa hivyo virusi?
Bado hakuna uthibitisho juu ya hilo.swali la ufahamu tu je kuna any reported and confirmed case ya mtu mweusi kufariki kutoka na huyo virus?!
Bado hakuna uthibitisho juu ya hilo.
ha ha ha mkuu umenichekesha eti naiwe hivyo usipatikanenaiwe hivyo hivyo uthibitisho usipatikane kwa mtu mweusi...
maana mtu mweusi na mizigo mingi sana na ndio imemkomaza hata kuhimili baadhi ya infection ya virusi.