FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #1,761
UPDATE: Iran
Visa vipya 1,076 sanjari na vifo vipya 21 vimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 5,823 huku wagonjwa wapatao 1,669 wakitajwa kupata ahueni.
Hadi sasa, watu wapatao 145 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) nchini humo.
kama vile wanashindana.UPDATE: Italia
Visa vipya 1,247 pamoja na vifo vipya saba 36 vimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 5,883 huku wagonjwa wapatao 462 wakiwa katika hali mbaya zaidi na wengine 589 wakiripotiwa kupata nafuu.
Idadi ya vifo nchini humo vinavyohusishwa na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) imefikia 233 hadi hivi sasa.
Hivi ni kweli mpaka saiz East African tupo salama au hatuna namna ya kupima huu ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikumbwa na mafua ya hatari two weeks ago hadi ikanilaza lakini sikujitenga. Ila now nipo fit.
Upo nchi gani?Nilikumbwa na mafua ya hatari two weeks ago hadi ikanilaza lakini sikujitenga. Ila now nipo fit.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa na mafua hadi kupata homa na kujisikia vibaya. Sijatumia dawa yoyote na now nipo fit now. Ila sina Corona mkuu usiogope.
Labda ilikuwa kuruna tuIlikuwa na mafua hadi kupata homa na kujisikia vibaya. Sijatumia dawa yoyote na now nipo fit now. Ila sina Corona mkuu usiogope.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo pesa umezipataje mkuu mbona hujui Cha kufanyia?Nakushauri uendelee kufanya ulichokuwa unafanya mwanzo mpaka ukabahatika kupata hizo pesaHello
Nitangulize samahani kwenu maana nitatumia uzi huu kuomba ushauri kwa sababu ndio wapo member wenye fully update za corona na hali ya kiuchumi ya dunia kwa sasa so sina budi. Tafadhari usinitukane nijibu na km nitakuwa nimekuudhi narudia samahani sana.
Nipo mbioni kufungua biashara ya mtaji km mil 5 hv lakin nategemea bidhaa tokea china, sasa je kwa hali ya huu ugonjwa kwasasa maoni yako yapoje nifungue hautoniathiri maana pia najaribu kuwaza labda nishafungua alafu yanatokea km yale ya china wote tunafungiwa ndani then pesa ushanunua bidhaa na kukodi fremu hii mbona km itanigharimu, kwa hiyo hapa nipo dilemma
Naomba msaada wako wa kimawazo tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda ilikuwa kuruna tu