Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Data za wachina zina viashiria vyote vya kupikwaItaly hali mbaya, wajifunze kwa wachina wanacontrol vipi kasi ya maambukizi, Wachina population yao 1.4B lakini maambukizi yao Hayakuwahi kufika kwenye 4digit kwa siku.
Sasa Italy yenye population 60.4M wanapata maambukizi makubwa kiasi hiki kwa siku hii ni Hatari sana.
Yes ni kweli ukizingatia kwamba hali ya bishara kwa Sasa ni kama kubahatisha mkuuHapana jamaa hukumuelewa alimaanisha yakwamba unge endelea nabiashara hio hio uloanza nayo ambayo imekupelekea kuipata Hio Million Tano Jamaa Nilivyomuelewa Mimi Hakua Namaana Mbaya Ila Alikusudia Uifanze Biashara Ilokupatia Awali M5
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hawa Whistleblowers huenda wakawa wanauliwa then tunaambiwa corona imewauwa.NEWS ALERT: Wuhan doctor Zhu Heping, colleague of virus whistleblower Li Wenliang, dies from coronavirus. [Global Times]
View attachment 1381555
Italy hali mbaya, wajifunze kwa wachina wanacontrol vipi kasi ya maambukizi, Wachina population yao 1.4B lakini maambukizi yao Hayakuwahi kufika kwenye 4digit kwa siku.
Sasa Italy yenye population 60.4M wanapata maambukizi makubwa kiasi hiki kwa siku hii ni Hatari sana.
Kweli maana bado mtaani watu hawapo kama zamaniwachina wanapika data mkuu......china hali ni mbaya sana
hahaha nakumbuka mmarekani Trump alivotoka jigamba kwamba kadhibiti then siku iyo iyo hali ikabadilikaChina mficha maradhi kifo umuumbua
Usafiri wa anga ina disaster yakeItaly wamesimamisha shughuli zote za michezo mpaka tarehe 3 Aprili.
Hii kitu ni hatari.
NEWS ALERT: Wuhan doctor Zhu Heping, colleague of virus whistleblower Li Wenliang, dies from coronavirus. [Global Times]
View attachment 1381555