Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Mkuu umefikiria mbali kweli...!Na nina wasiwasi kuwa ukishavipata hivi virusi, kisha vikapoa kwa sababu ya madawa au immune system, haviishi mwilini anytime vinaibuka tena na unaweza kuanza kuambukiza tena.