[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni balaa!!!punishment kwa kosa gani,alisahau kama na yeye anapumua bado kwenye mgongo wa dunia?[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]View attachment 1385942
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa Uingereza. Na Trump eti kakataza waulaya wote wasiende USA kasoro Uingereza. Ama kweli Akili ni mali.
Hawa wachina si ndo wanasema wana Mungu wao? [emoji53][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni balaa!!!punishment kwa kosa gani,alisahau kama na yeye anapumua bado kwenye mgongo wa dunia?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Huko Ulaya naona maambukizi yanakuwa kwa watu maarufu tu.
Mwanza wamezuia, kuchovya maji ya baraka wakati kuingia na kutoka kanisani, kupokea kwa kukinga mdomo, wanataka tutumie njia ya kupewa mkononi na hilo la kutakiana amani kabla ya mwanakondoo.Ni Tanzania nzima nadhani.. Huku kaskazini pia wamezuia
Hapana ....ni kuwa hao watu sababu ni maarufu ndo unapata habari zao... Angalia confirmed cases za nchi husika ndo utaona unawapata watu maarufu tu au wote.Huko Ulaya naona maambukizi yanakuwa kwa watu maarufu tu.