Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

..
Lebanon na Israel imeingia huko,wakati Irani inazidi kupamba Moto...

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200222-075815~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu
Waga hulali mkuu???
Maana tunafrahia sana update zako especially mimi na pia afya yako ni ya maana zaid
UPDATE: Korea Kusini

Visa vipya takribani 142 vimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 346.

South Korea reports 142 new cases of coronavirus, raising country's total to 346
This includes:
  • 92 new cases linked to hospital
  • 38 new cases linked to church
  • 12 new cases unknown

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama atakuwa na Corona, TUMEKWISHAAA!!!
oooh ! hii comment sikuwa naitaka
hatari sasa inanyemelea tangu febuary 13 leo feb 21 inamaana wiki nzima kausambaza dah !!
hiyo habari Mbaya leo nimeswari IJUMAA nimeomba sana Heri inipate mm kuliko mwanangu nawaza sana mwanangu
7bu hilo janga likiingia AFRICA ni kifo tuu hatari kwakweli


Sent using Jamii Forums mobile app
Let's hope kuwa mgonjwa huyo yupo salama.

Mpaka sasa bado majibu ya vipimo vyake hayajapatikana. Tuendelee kusubiri.
 
Wa Egypt vipi majibu yametoka?
Vipimo vyake vya mara ya mwisho vilionesha negative, ila kama nilivyosema hapo awali kuwa majibu ya vipimo alivyofanyiwa yana utata.

Kuna uwezekano kuwa mtu huyo hakuwa na maambukizi kabisa ila makosa ya kivipimo yalifanyika.
 
Asante sana mkuu
Waga hulali mkuu???
Maana tunafrahia sana update zako especially mimi na pia afya yako ni ya maana zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani nawe pia kwa kuendelea kufuatilia taarifa hizi.

Kuna wakati huwa nalala na pia kuna wakati huwa silali. Yote hayo yanafanyika kwa muda na wakati maalumu.

Afya ni jambo la maana zaidi, ni kweli!
 
UPDATE: Korea Kusini

Visa vipya 87 vimetangazwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 433 hadi sasa huku idadi ya vifo kutokana na virusi vya COVID-19 ikiwa ni viwili (2) nchini humo hadi hivi sasa.
 
UPDATE: Iran imeripoti visa vipya 10 pamoja na kifo kipya kimoja (1) kutokana na virusi vya Corona.

Hadi sasa visa takribani 28 pamoja na vifo vitano (5) vimeripotiwa nchini humo.
 
UPDATE: Japan

Ndani ya saa chache zilizopita, visa vipya vipatavyo 24 vimeripotiwa nchini humo. Mpaka sasa idadi ya visa vyote nchini Japan imefikia 129.
 
Back
Top Bottom