HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Muendelezo:
Iran
Wizara ya Afya nchini Iran imetangaza jumla ya Vifo 34 huku idadi ya waambukizwa ikifikia 388 ikiwa ni ongezeko la maambukizi 134 ndani ya Masaa 24.
Hii ni sawa na Asilimia 10 ya wagonjwa wanafariki. Hii inafanya Iran kuwa na nchi yenye kiwango kikubwa kuliko nchi zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran
Wizara ya Afya nchini Iran imetangaza jumla ya Vifo 34 huku idadi ya waambukizwa ikifikia 388 ikiwa ni ongezeko la maambukizi 134 ndani ya Masaa 24.
Hii ni sawa na Asilimia 10 ya wagonjwa wanafariki. Hii inafanya Iran kuwa na nchi yenye kiwango kikubwa kuliko nchi zote
Sent using Jamii Forums mobile app