Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,965
Jana tu tumetoka kuliongea hili ila Viongozi wetu wakahisi hela za utalii ni bora kuliko uhai. Poor country, poor mind , bad leadership
Sent using Jamii Forums mobile app
TAARIFA ZA HIVI PUNDE.
MTALII MMOJA RAIA WA CHINA AMEWEKWA CHINI YA UANGALIZI MAALUM KWENYE HOTEL YA RIVER TREE ILIYOPO USA RIVER ARUSHA, BAADA YA KUWA NA DALILI ZOTE ZA UGONJWA WA CORONA. MADAKTARI KUTOKA HOSPITALI YA WILAYA TENGERU NA HOSPITALI YA MKOA YA MOUNT MERU WAMESHAFIKA KWENYE HOTEL YA RIVER TREE MUDA HUU.
Jamani Tumuombe Mungu waTanzania tutakwusha
C&P
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app