Ni bet bro jaribu na ww mungu atakusaidiaHizo pesa umezipataje mkuu mbona hujui Cha kufanyia?Nakushauri uendelee kufanya ulichokuwa unafanya mwanzo mpaka ukabahatika kupata hizo pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bet bro jaribu na ww mungu atakusaidiaHizo pesa umezipataje mkuu mbona hujui Cha kufanyia?Nakushauri uendelee kufanya ulichokuwa unafanya mwanzo mpaka ukabahatika kupata hizo pesa
Aah hakuna kitu imenirudisha nyuma kama betting mkuu,sijawahi kumpuna kanjibai hata mia
kwa sasa nakushauri subiri kwanza mpk ufike mwezi wa 6 hivi sikilizia upepo wa coronaHello
Nitangulize samahani kwenu maana nitatumia uzi huu kuomba ushauri kwa sababu ndio wapo member wenye fully update za corona na hali ya kiuchumi ya dunia kwa sasa so sina budi. Tafadhari usinitukane nijibu na km nitakuwa nimekuudhi narudia samahani sana.
Nipo mbioni kufungua biashara ya mtaji km mil 5 hv lakin nategemea bidhaa tokea china, sasa je kwa hali ya huu ugonjwa kwasasa maoni yako yapoje nifungue hautoniathiri maana pia najaribu kuwaza labda nishafungua alafu yanatokea km yale ya china wote tunafungiwa ndani then pesa ushanunua bidhaa na kukodi fremu hii mbona km itanigharimu, kwa hiyo hapa nipo dilemma
Naomba msaada wako wa kimawazo tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sasa nakushauri subiri kwanza mpk ufike mwezi wa 6 hivi sikilizia upepo 7bu nchi nyingi si china wamefunga biashara zao mashure maofisi hata public issue nk
na kuna hata baadhi ya matukio yamesitishwa kwa mfano HOLLYWOOD wamesitisha kulaunch movie nyingi tu wamepostpone mpk swala la corona lieleweke
hvyo kwa sasa hifadhi pesa yako mkuu izungushe kwenye biashara za hapahapa hasa zinazohusu biashara za vyakura ndo deal now
7bu sasa hv watu wengi hawatumii pesa hovyo kwa vitu vya anasa wanaficha kuhofia corona
mfn ni mm matumizi nimepunguza ya siku toka elf 20 25
mpk elf 10 to 15 na kila siku najibana nahifadhi elf 15 ambappo hapo awali sikuweza kabisa
nafanya hivi hata likivoromoka hilo gonjwa nijue cha kufanya nahani umesikia wenye mamlaka hawana uwezo
matumizi ya vitu visivyo na ulazima nimeacha hivyo si mm tu hata watu wengi ambao ili tupate pesa lazima tutoke kila siku tumekuwa makini na matumizi ya pesa hvyo ushauri wangu tulia kwanza uangalie upepo unavyokwenda 7bu hata kuagiza mzigo kuupata itakuchukua muda au usiupate kabisa kazi kwako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah hakuna kitu imenirudisha nyuma kama betting mkuu,sijawahi kumpuna kanjibai hata mia
ni races gan mkuuUPDATE: Barani Afrika
Afrika Kusini imeripoti kisa kipya kimoja (1) cha COVID-19 nchini humo. Nchi hiyo imekwisha ripoti visa viwili (2) hadi hivi sasa.
Ni raia wa Afrika Kusini. Kulingana na taarifa ya Wizara ya afya ya nchi hiyo, races zao hazikutajwa.ni races gan mkuu
Hapana jamaa hukumuelewa alimaanisha yakwamba unge endelea nabiashara hio hio uloanza nayo ambayo imekupelekea kuipata Hio Million Tano Jamaa Nilivyomuelewa Mimi Hakua Namaana Mbaya Ila Alikusudia Uifanze Biashara Ilokupatia Awali M5Dogo wa hapo juu chenga ndio maana nimempa jibu kulingana na uwezo wake wa kufikir, anauliza nimepataje mil 5 jibu ni kubet aende akabeti aone
Sent using Jamii Forums mobile app
mhUPDATE: Italia
Visa vipya 1,492 pamoja na vifo vipya saba 133 vimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 7,375 huku wagonjwa wapatao 462 wakiwa katika hali mbaya zaidi na wengine 622 wakiripotiwa kupata nafuu.
Idadi ya vifo nchini humo vinavyohusishwa na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) imefikia 366 hadi hivi sasa.
UPDATE: Italia
Visa vipya 1,492 pamoja na vifo vipya saba 133 vimeripotiwa nchini humo na kufikisha jumla ya visa 7,375 huku wagonjwa wapatao 462 wakiwa katika hali mbaya zaidi na wengine 622 wakiripotiwa kupata nafuu.
Idadi ya vifo nchini humo vinavyohusishwa na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) imefikia 366 hadi hivi sasa.