Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Search:

Country,
Other
Total
Cases
New
Cases
Total
Deaths
New
Deaths
Total
Recovered
Active
Cases
Serious,
Critical
Tot Cases/
1M pop
China80,881+213,226+1368,7158,9403,22656.2
Italy31,506+3,5262,503+3452,94126,0622,060521.1
Iran16,169+1,178988+1355,3899,792192.5
Spain11,409+1,467510+1681,0289,871563244.0
Germany8,639+1,36723+6678,5492103.1
S. Korea8,320+8481+61,4016,83859162.3
France6,633148126,473400101.6
USA5,723+1,06097+11745,5521217.3
Switzerland2,742+38927+8152,700316.8
UK1,950+40771+16521,8272028.7
Netherlands1,705+29243+1921,6604599.5
Norway1,452+104311,44827267.8
Austria1,332+3144+181,32012147.9
Belgium1,243+18510141,21933107.3
Sweden1,191+708+111,18212117.9
Denmark977+634197218168.7
Japan878+4529+1144705416.9
Diamond Princess696745623315
Malaysia673+1072+2496221020.8
Australia452+51527420117.7
Canada452+115+111436112.0
Portugal448+117134441843.9
Qatar4394435152.4
Czechia434+903431240.5
Greece387+355+1143681137.1
Israel324+2611313537.4
Finland322+4410312258.1
Brazil301+671+12298181.4
Ireland292+6925285659.1
Slovenia275+2212744132.3
Singapore266+231141521445.5
Bahrain241+131811593141.6
Iceland240+411+152341
Pakistan236+52122331.1
Estonia225+201224169.6
Poland221+445+121635.8
Romania217+4919198511.3
Chile201+45201310.5
Egypt196+306+2261641.9
Philippines187+4512517011.7
Thailand177+3014113512.5
Indonesia172+387+281570.6
Saudi Arabia171+3861654.9
Hong Kong168+1348183422.4
Iraq154+2111+1411023.8
India142+133+1141250.1
Luxembourg140+59113910
Kuwait130+712118430.4
Lebanon120+1134113317.6
Peru117+31111683.5
Russia114+2181060.8
Ecuador111+53210926.3
San Marino10411+448911
UAE98267229.9
Slovakia97+2597217.8
Mexico82+2947810.6
Bulgaria81+1927911.7
Armenia78+26177226.3
Taiwan77+10120563.2
Serbia72+1517148.2
Panama69168716.0
Croatia69+1256416.8
Argentina68+3236311.5
Vietnam66+516500.7
Colombia65+111641.3
South Africa62621.0
Algeria605+110451.4
Latvia60+2615931.8
Brunei56+2561
Albania55+4154219.1
Hungary50+1112475.2
Cyprus49+349140.6
Faeroe Islands47+2947
Turkey47470.6
Sri Lanka44+161432.1
Costa Rica414138.0
Palestine41+2418.0
Jordan40+111393.9
Morocco38+12+113511.0
Malta38+8236
Belarus363333.8
Georgia34+113318.5
Cambodia33+211322.0
Kazakhstan33+23331.8
Venezuela33+16331.2
North Macedonia31+7130114.9
Moldova30+112917.4
Uruguay29298.3
Azerbaijan28+316212.8
Senegal272251.6
Bosnia and Herzegovina27+22258.2
Oman2412124.7
Tunisia2412322.0
Afghanistan22+11210.6
Lithuania22+412118.1
Dominican Republic211201.9
Andorra16+2115
Martinique15114
Burkina Faso15150.7
Macao13+1103
Maldives1313
New Zealand12+4122.5
Jamaica122104.1
Bolivia11110.9
French Guiana1111
Uzbekistan11+3110.3
Bangladesh10+2370.1
Cameroon10+5100.4
Monaco99
Paraguay9+1911.3
Réunion99
Guatemala8170.4
Honduras8+280.8
Guyana716
Ukraine7160.2
Liechtenstein77
Rwanda770.5
Channel Islands66
Ethiopia6+160.1
Ghana660.2
Guadeloupe66
Cuba5+150.4
Guam5+25
Mongolia5+151.5
Puerto Rico551.7
Trinidad and Tobago5+153.6
Ivory Coast440.2
Kenya4+140.1
Seychelles4+14
Nigeria3+112
Aruba3+13
Curaçao3+13
DRC33
French Polynesia33
Gibraltar321
St. Barth33
Barbados2+22
Liberia2+120.4
Namibia220.8
Saint Lucia22
Saint Martin22
U.S. Virgin Islands2+12
Cayman Islands110
Sudan110
Nepal110
Antigua and Barbuda11
Bahamas11
Benin110.1
Bhutan11
CAR110.2
Congo110.2
Equatorial Guinea110.7
Gabon110.4
Greenland11
Guinea110.1
Vatican City11
Mauritania110.2
Mayotte11
St. Vincent Grenadines11
Somalia110.1
Suriname11
Eswatini110.9
Tanzania11
Togo110.1
Total:194,73512,2907,89674981,080105,7596,73025.0

Tusipokuwa makini, hofu ndio itayotuua wengi zaidi kuliko hata Corona yenyewe, tumatishana kwa nguvu zote kuliko kuchukua hatua za kitahadhari na kimatibabu ya dharura.

Kwa inchi za Afrika wala siamini kama idadi iko hivyo

Coz tunakatabia kakusema tutawastua wanainchi
 
Arabuni naona wanasavaivu......na afrika kwa mbali China na Italy ndiyo wameathirika sana....tuombe kheri mambo ni mazito sana.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa naona Taarifa kwa vyombo vya habari zikitolewa na viongozi wetu ila kwa lugha moja tu ya Kiswahili.

Napendekeza kuwa:
Kuwe na utaratibu RASMI wa kuhakikisha kuwa TAARIFA zote muhimu za kitaifa na Kimaataifa, ziwe zinatolewa kwa Lugha mbili, yaani KISWAHILI na KIINGEREZA

Nimeandika kwa nia njema kwani, kutoa taarifa kwa lugha ya Kiswahili pekee na kuachia watu wajitafsirie mtaani wenyewe; kunatoa nafasi kwa watu wasio kuwa na nia njema kujitafisiria kwa kadri wanavyoona inafaa.

Lakini pia, kuna mashirika mengi yana watu wasio kuwa na umahiri wa lugha ya kigeni, hivyo wanavyo ambiwa watafisiri, huishia kutafisiri KWA LUGHA NYEPESI NYEPESI huku akijifanya kuwa, hakuna jipya ILA kimsingi ni kuwa hana uelewa wa kutosha wa kutafsiri (Kumbuka: Mashirika ya wakezaji haya ajiri wakalimani).

Kwa suala la Corona kwa sasa ambalo lina athiri afya za watu wengi Globally na biashara hasa ya utalii; napendekeza kuwa kila linapotolewa tamko litolewe mara moja nakala zote mbili (ya Kiswahili na Kiingereza) itumwe kwenye taasisi inayosimamia makampuni ya wageni - TATO ili wafikishie wanachama wao.

Na hata yanapotolewa matamko mengine yanayo gusa Biashara , Mfano kubadilika kwa tozo mipakani, kwenye vivutio nk nakala zote mbili (Kiswahili na Kiingereza) zitumwe MARA MOJA kwa TATO. Nafikiri hiyo ni njia nzuri ya kuwasiliana na wadau na kuonyesha kuwa Tuna wajali

Kimsingi kuna TAARIFA muhimu zinatolewa ILA haziwafikii baadhi ya wadau muhimu wakiwemo WAWEKEZEZAJI kwa uzito uliokusudiwa.
 
Back
Top Bottom