Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Poleni kwa majukumu ya kila siku ndugu zangu, lakini pia tusichoke kujikinga na hili janga jipya Covid-19 au Corona, haya ni mawazo ambayo nafikiria yanaweza kuwa msaada zaidi kama tukichukua hatua kabla ugonjwa haujaenea sana, sio mwandishi mzuri kwenye mapungufu mnivumilie.

Nikitazama majirani zetu naona wamechukua hatua madhubuti pamoja na kufunga mipaka ya nchi zao lkn tanzania mpaka sasa tumefunga shule na vyuo pamoja na kusisitizwa kunawa mikono na Sanitaizer au sabuni.

Rwanda huruhusiwi kusafiri ulipo kwenda mkoa mwingine, nadhani kwa sasa Tanzania inaitaji kuchukua hatua hii, Maambukizi makubwa kwa sasa yapo DSM na Zanzibar lakini wenzetu Zanzibar wamefunga mipaka yao hatakiwi mgeni yeyote kwenda kutembea Zanzibar.

Kwakuwa wagonjwa wengi wapo DSM kuna haja wakazi wa DSM wazuiwe kusafiri na kutotoka nnje ya DSM kama moja ya tahadhari, kama unadharura ya kutoka basi ukae karantini kwa gharama zako na siku 14 zikiisha uruhusiwe kusafiri, hivyo hivyo kwa mikoa iliopakana na Mipaka ya nchi jirani, kuliko kuja kuwekwa karantini nchi nzima na kuzuiwa kutoka nnje ni bora hili lifanyike, najiuliza kuna watu hawana kipato cha kueleweka wataishi vp,kuna mtu anaondoka asubui jioni anakuja na mboga familia ile huyu ataishije? Hapa tunaweza tukajikuta tuna pambana na magonjwa mawili la njaa na Corona nawakilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninashauri baa zote zifungwe maana huko uangalifu/u makini kwa waliowengi sio wa kutosha
Samahanini kwa wadau wenzangu wa kupiga vyombo.

Pia msongamano uliozidi kwenye daladala udhibitiwe, yaani abiria wasisimame.
 
Funga bar
Funga migahawa
Funga makanisa
Funga misikiti
Funga masoko yasiyo ya chakula
Funga mipaka


Tia vikwazo vya kusafiri kwa DAB na wananchi wake
 
Let's get serious with combating Covid-19. The virus is spreading as can be deduced from government updates.
1585602042416.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nilimwambia mshkaji wangu leo kwamba bora wazuie watu kusafiri kutoka mikoa iliyoathirika kwenda mikoa salama ili kuzuia ugonjwa kusambaa mikoa yote hali itakayopelekea kufungwa nchi nzima huko mbeleni.
 
Kuna uzi niliona title ikisomeka "moderator wa JF wana uwezo mdogo mno wa kufikiri" nilipotaka kufungua nilikuta ushafutwa.

Naanza kutilia shaka hili🤔
 
I tend to agree, shame on CIA and FBI for not detecting this in advance.
Conspiracy much?

—————————

WELL PLAYED CHINA....*

*SCENE 1 [emoji10]
The curtain opens: China becomes ill, enters a "crisis" and paralyzes its trade. The curtain closes.

*SCENE II.*
The curtain opens: The Chinese currency is devalued. They do not do anything. The curtain closes.

*SCENE III.*
The curtain opens:: Due to the lack of trade of companies from Europe and the USA that are based in China, their shares fall 40% of their value.

*SCENE IV.*
The curtain opens:: The world is ill, China buys 30% of the shares of companies in Europe and the US at a very low price. The curtain closes.

*SCENE V.*
The curtain opens: China has controlled the disease and owns companies in Europe and the US. And he decides that these companies stay in China and earn $ 20,000Billions. The curtain closes. How is the play called?

*SCENE VI:*
*Checkmate!*

*ReAmazing but true*

Two videos have passed between yesterday and today that convinced me of something I suspected, but had no basis. It was just my speculation. Now I am convinced that the coronavirus was purposely propagated by the Chinese themselves.

At first they were too prepared. Three weeks after the start of the roll, 14 days and a 12,000-bed hospitals were already under construction. And they really built them in two weeks.

Awesome.

Yesterday they announced that they had stopped the epidemic. They appear in videos celebrating, they announce that they even have a vaccine. How could they create it so quickly without having all the genetic information? Well if you are the owner of the formula it is not difficult at all.

And today I just saw a video that explains how Den Xiao Ping gave the west a half stick. Due to the coronavirus, the actions of Western companies in China fell dramatically. China I just hope, when they went down enough they bought them. Now the companies, Created by the USA and Europe in China with all the technology put in by these exchanges and their capital they passed into the hands of China, which is now rising with all that technological potential and will be able to set prices at will to sell everything they need to the West. How are you?

None of this could have happened by chance. China who cared that a few old men died? Fewer old-age pensions to pay, but the loot has been huge. And right now the West is financially defeated, in crisis and stunned by the disease. And without knowing what to do.

Masterfully diabolic. It had to be the communists.|

Adding to this, they are now the single largest owners of US treasury with 1.18 trillion holding surpassing Japan.
An instrument that has seen the most rally

One [emoji121] prospective & Analogy
-------_--------------_-------////-//////
How come Russia & North Korea have Low or Zero incidence of Covid- 19 ?

Is it because they are staunch allies of China

On the other hand USA / South Korea / United Kingdom / France / Italy / Spain and Asia are severely hit

How come Wuhan is suddenly free from the deadly virus?

China says that the drastic initial measures that they took were very stern and Wuhan was locked down to contain the spread to other areas

Why Beijing was not hit ? Why only Wuhan?

It is interesting to ponder upon.. right ?

Well ..Wuhan is open for business now

Covid - 19 needs to be seen in the backdrop of the arm twisting of China by USA in the trade war

America and all the above mentioned countries are devastated financially

Soon American economy will collapse as planned by China.

China knows it CANNOT defeat America militarily as USA is at present THE MOST POWERFUL country in the world.

So use the virus to cripple the economy and paralyses the nation and its Defense capabilities.

I am sure Nancy Pelosi got a part in this.... to topple Trump....

Lately President Trump has always been telling of how the GREAT American economy was improving on all fronts and jobs were coming back to the USA

The only way to destroy his vision of making AMERICA GREAT AGAIN is to create an ECONOMIC HAVOC.

Nancy Pelosi was unable to bring down Trump through impeachment.....so work along with China to destroy Trump by releasing a virus.

Wuhan's epidemic was a showcase.

At the peak of the virus epidemic....China's President Xi Jinping...just wore a simple RM1 facemask to visit those effected areas.

As President he should have been covered from head to toe.....but that was not the case.

He was already injected to resist any harm from the virus....that means a cure was already in place before the virus was released

China's vision is to control the World ECONOMY by buying up stocks now from countries facing the brink of severe ECONOMIC COLLAPSE. Later China will announce that their Medical Researchers have found a cure to destroy the virus

Now China shall OWN the stocks of All Western Alliances and these countries will soon be slave to their NEW MASTER CHINA
#copied

If there is another one share it here[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utafiti wa hivi karibuni, umeonesha yafuatayo:

1) Wazee bado ndio wanaoongoza kwa vifo lakini uzee siyo sababu pekee.

2) Wanaume ni waathirika zaidi wakilinganishwa na wanawake.

3) Ulikuwa na afya ya namna gani kabla ya kupata coronavirus, ni sababu kubwa bila ya kujali umri wako.

4) Huko China, 80% ya waliofariki walikuwa kwenye umri wa miaka ya 60.

5) Huko Utaly, 80% ya waliofariki walikuwa kwenye umri wa miaka ya 70 na zaidi.

6) Wanaopata coronavirus wakiwa na umri chini ya miaka 50, kati 10 na15% wanakuwa wagonjwa wagonjwa sana au wagonjwa wa kadiri (seriously sick or moderately sick).

7) Watu wa umri wa kati, hata wakinusurika, huwa wanalazimika kukaa wiki kadhaa hospitalini wakitibiwa.

8) Ufaransa, wagonjwa 300 wa mwanzo waliolazwa ICU, walikuwa na umri chini ya miaka 60.

9) Takwimu za Italy zinaonesha kuwa 25% ya waliopatwa na Coronavirus walikuwa na amri kati ya miaka 19 - 50.

10) Spain, theluthi 1 ya wagonjwa wake wote ni watu wenye umri chini ya miaka 44

11) Marekani, 29% ya wagonjwa wake ni watu wenye umri kati ya miaka 20 - 44

12) Huko China, mtoto mmoja wa miaka 14 alifariki; na watoto wanaopata ugonjwa huu, 6% wanakuwa wagonjwa sana (seriously ill).

13) Wengi wa wanaokufa huonesha kupata nafuu, na baada kama ya wiki moja hivi hali zao hubadilika ghafla na kuzorota (deteriorating, experiencing organ demaging inflamation)

Wataalam wanashangazwa na sababu ya wanawake kutoathirika zaidi. Lakini utafiti uliofanywa wakati wa SARs, unaonesha kuwa wanaume wanaathirika zaidi kutokana:
1) Uvutaji sigara
2) Hormone ya Estrogen inaoenekana kuwasaidia wanawake.

Mpaka sasa, huko Ufaransa, theluthi 2 za waliolazwa kutokana na Coronavirus ni wanaume.

Hii ni sehemu ya matokeo ya utafiti uliofanywa na:

AP Writers - Nicole Winfield (Rome), Maria Cheng (London), Angela Charlton (Paris) katika utafiti wao walioupa Kichwa Cha Habari 'Age is not the only risk for severe coronavirus disease.

Utafiti huu, kwa haraka, unaendana na picha ya hapa kwetu (japo sample bado ni ndogo sana). Waathirika wetu karibia wote mpaka sasa ni wenye umri chini ya miaka 50.
 
Lakini pia tutofautishe kati ya watafiti na watoa taarifa na wasambazaji wa matokeo ya tafiti. Hapa watafiti ni waliotajwa, wengine wote tunatoa au kusambaza taarifa za utafiti, ambalo ni jambo muhimu sana kwa kila mmoja wetu.
kuna watu wapuuzi sana ni wale wavivu wa kusoma wavivu wa kujifunza mapta
article za uchunguzi kila siku zinatolewa na wataaramu wanaokaa maabara ama eneo wakifanya chunguzi tena hutumia gharama kubwa ya pesa ili tu kukuletea habari za mabariko mapya ktk maisha.

sasa wewe unasema ngoja nishare na wenzangu unakutana na mpuuzi km huyo asiyependa kusoma na kujifunza mapya anaanza kuandika yasiyo na tija
wkt hayo maandiko yapo katika SITE za kuaminika ninvilentu unaamua kutafasiri kwa kiswahili ili habari ieleweke.

ni juzi tu nilikuwa duka la dawa nanunua dawa sasa akamwambia mteja mmoja alikuwa anamuuzia dawa za UTI baada kumuuzia kuwa anywe maji mengi Mm nikapinga nikamwambia kunywa maji kulingana na shughuri unazofanya na uhitaji wa mwili wako muhimu jitahidi usikae na njaa muda mrefu na jitahidi akae sehemu yenye hewa nzuri ili dawa zisimchukue sana.

akasema km huyo tatizo wabongo wataalamu wengi nikambwambia wewe mfamasia lkn hujifunzi mapya nikachukua ile dawa nikatoa kikaratasi cha ndani nikaanza kumsomea yule mgonjwa side efect na angalizo km ana tatizo fulani zile dawa asitumie km mjamziti na magonjwa mengine kisha nikamuuliza haya kakuambia au amekupa tu dawa na kukuambia tu unywe maji mengi then nikamuuliza haya nimesema mm kujifanya mtaalam au yameandikwa humu.

nikamwambia mambo mengne kwa hawa madocta wa kibongo unatakiwa ujiongeze ama sivyo wanakuletea matatizo nikamwambia km ligha inapanda.

soma mwanzo mpk mwisho halafu uone kuna sehemu wamesema kunywa maji mengi ukinywa dawa hii hvyo nikamshauri dada zingatia kura na kupumzika zaidi unapotumia hizi dawa kunywa maji kawaida tu kadri mwili unavyotohitaji maji na namna unavyotoa jasho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom