Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

IMG_20200405_172714.jpg
Kipengere muhimu kinachofanywa na nchi zingine cha kupima na kuwabaini waathiriki sioni kikifanyika hapa nchini.
IMG_20200405_172703.jpg
 
Kwani Cameroon ni Tanzania? Amini takwimu zinazotolewa na Nchi yako!
 
Una Ndugu yako anaumwa Corona ama amekufa kwa Corona.?
Wait a minute! Unajali maisha ya ndugu yako peke yake?🤦🏾‍♂️ Watanzania wenzako vipi? Hili ni janga la dunia mkuu wanaokufa ni binadamu pia hata kama siyo ndugu zako. Tuachane ubinafsi ule uliopitiliza wa mwafrika.
 
Back
Top Bottom