Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Akili za kijani kibichi mapimbi kweli hapa hujaelewa mada inasemaje,tumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara.Una Ndugu yako anaumwa Corona ama amekufa kwa Corona.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kijani kibichi mapimbi kweli hapa hujaelewa mada inasemaje,tumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara.Una Ndugu yako anaumwa Corona ama amekufa kwa Corona.?
Nimeshindwa tu kueleweka nia yangu ilikuwa kunukuu kauli ya mkuu wa mkoa alioitoa jana, kuionyesha kwamba viongozi wetu wanwaza nini kuhusu huu ugonjwa.Wait a minute! Unajali maisha ya ndugu yako peke yake?[emoji2365] Watanzania wenzako vipi? Hili ni janga la dunia mkuu wanaokufa ni binadamu pia hata kama siyo ndugu zako. Tuachane ubinafsi ule uliopitiliza wa mwafrika.
Kabisa yaani.!in Bashite voice!
Punguza jazba...hiyo ni sauti ya Makonda...Akili za kijani kibichi mapimbi kweli hapa hujaelewa mada inasemaje,tumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara.
Kwa matamshi ya Bashite ya jana,msitarajie kuelezwa ukweli juu ya idadi ya wanaogundulika kuugua corona.
Mbona ukimwi hamuweki karantini? Haya magonjwa yapo iliisha corona kinakuja kipindupindu tetekuwanga surua kifaduro mtafungia watu Hadi lini? Watu wanawe waende kaziniQuaranteen inafanya kazi sana na ni muhimu mno la sivyo ulimwengu wote tungeugua na kufa.
Duuu...Tumwombe Mungu na kumsihi katika Toba ya KWELI
Wewe mwenzetu ni "Alien" toka ulimwengu mwingine? Yaani unataka kusema kwamba Kipindupindu, UKIMWI na Corona vyote vina aina moja ya kirusi/Bakteria na vinaenezwa kwa mfumo mmoja?Mbona ukimwi hamuweki karantini? Haya magonjwa yapo iliisha corona kinakuja kipindupindu tetekuwanga surua kifaduro mtafungia watu Hadi lini? Watu wanawe waende kazini
Na bado wataisha Sana mkuu...walitutengenezea waafrika mungu kaligeuza[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app