Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Mpumbavu namba moja ni mtu yoyote anayekana uwepo wa Mungu na nguvu zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Heri anaekana kuliko asiemjua kabisa kwa maana anaekana angalau anajua kuhusu Mungu kidogo ndio maana anakana baadhi ya vitu vya huyo Mungu!

kuliko wewe uliebebeshwa ukaririsho na umeendelea kuushika bila kujua umeshika usipopajua na bado utaendelea kumtetea Mungu wakati hata sifa zake huzijui yeye hufaa kujitetea na si kutetewa!

Bado unasafari ya kumjua ila unajiona unamjua!
 
Marekani,Uingereza na China wamefanya majaribio ya kwanza ya chanjo nchini mwao.
Urusi wanaandikisha watu wa kufanya majaribio ya kwanza ya chanjo nchini mwao.
Wazungu wapi hao "wanaotaka hadi" chanjo ianzie kwetu?!
Hata hivyo hayo yote uliyosema sio jibu la jinsi gani mmejua Corona itaisha April!
Mmejuaje?
Waafrica hawajasema wazungu watazidi kuisha kwa Corona ila wazungu wanataka hadi chanjo ianzie kwetu wakati wao ndo victims wakubwa wa Corona, kwa point hiyo Corona inatoweka muda si mrefu huku ikiwaacha Wazungu wamekufa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeyajibu maswali haya kuhusu ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kwenye video hii:
1. Je vitamini husaidia kinga ya mwili dhidi ya Ugonjwa wa Corona?
2. Je kusukutuwa mdomo na maji ya chumvi husaidia kujikinga na Corona?
3. Je virusi vya Corona vinaweza kusambaa kwa mfumo wa mawasiliano wa 5G?
4. Je virusi vya Corona ni silaha iliyotengenezwa na China?
5. Je taarifa potofu kuhusu ugonjwa wa Corona hutoka wapi?

 
Video ya miili ya watu wawili ikitolewa nyumba za nhc mnazi mmoja, mmepata kuiona? Kwa jinsi wale watu walivovaa yapaswa kua na tahadhari zaidi
 
Ukiangalia data hapa chini utaona kua nchi ya Ecuador ina jumla ya vifo vinavyotokana na covid-19 355 hadi leo hii.
ssssd.JPG



Then angalia maelezo ya huyu mwanadada hapa chini! Sijui hizi data yeye kazitoa wapi kwamba Ecuador wanakusanya maiti 700 daily mitaani. Yaani hii nchi mtu akiwa mpinzani wa serikali basi hata akili yake inapumzika kufanya kazi hali inayopelekea watumie visigino kufikiri.


ssssd1.JPG
 
China kujenga hospitali kwa siku sita mjini Wuhan itakayoweza kulaza watu 1000. Hii itakuwa record mpya ya dunia baada ya ile kujenga hospitali ndani ya siku Saba kupambana na kirusi SAR
kwa kweli huu ugonjwa unashutua watu wengi na inawashika kila mmoja
 
Hii itakua unpopular opinion ila nitasema ninachofikiri.

Pasi na chembe ya shaka Covid-19 ni ugonjwa hatari ila, kwa mawazo yangu, dunia nzima ime overact na jinsi ya kukabiliana na huu mlipuko.

Kinachoendelea sasa ni mashindano ya kutoa takwimu za waathirika na kutishana. Bado death rate ya corona sio ya kutisha sana kiasi cha kufanya shughuli zingine zote zisimame. Ikumbukwe watu walikua wanakufa kabla ya corona na wataendelea hata baada ya corona, it's the circle of life. Sasa kila anayefariki ni corona magonjwa mengine yote yamepotea ghafla. Hata mimi nikifa kwa corona hakuna sababu ya maisha ya wengine kusimama.

Nadhani kuchukua tahadhari tu ingetosha ila sio kusimamisha maisha ya watu juhudi ambazo hazionekani kuzaa matunda yoyote, mwishoe watu watasema potelea mbali na kurudi makazini. Dawa au chanjo ya corona isipopatikana hadi mwakani watu wataendelea kukaa ndani mwaka mzima?

Sasa bongo nao watu wanataka kila kitu kisimame sababu corona imeua watu watano toka ianze, really? I can assure you malaria imeua wengi zaidi ya hao in the last 24hrs.

According to Wikipedia, Mortality rate - Wikipedia, inakadiriwa watu laki moja na nusu hufa kila siku kwa sababu mbali mbali duniani. Sasa iweje corona iliyoua watu karibu watu laki moja na nusu kwa miezi mitatu isimamishe dunia.

www.worldometers.info/coronavirus/
Confirmed
2,173,432
Recovered
554,786
Deaths
146,291

Media nyingi zinatoa idadi ya vifo na waathrika wapya tu hawasemi wangapi wamepona. Nia ni kujazana hofu.

Come June maisha yataendelea aidha chanjo imepatikana au lah, vinginevyo we're facing economy Crashdown beyond repair. Kilichofanyika so far ni kuua sisimizi kwa nyundo.
 
Media nyingi zinatoa idadi ya vifo na waathrika wapya tu hawasemi wangapi wamepona. Nia ni kujazana hofu.
MKUU UNAUJUA MCHANGANUO WA KUMUHUDUMIA MGONJWA MMOJA WA CORONA HADI AKAPONA? 🤔
AFU IMAGINE KWA NCHI ZETU KAMA HIZI HUDUMA MBOVU ZA AFYA AFU TUWE NA WAGONJWA WENGI UNAHISI NINI KITATOKEA??! 🤔
 
Watu wanahoji nguvu ya Mungu huku wakijua kuwa imani huwa haihojiwi ina nguvu ina uwezo

Ukiuliza miujiza uliza muujiza wa Shahawa na yai zinavyopelekea kutengeneza kiumbe

Jiulize miujiza ya kitu usichokiona kinakuua

Kuna mambo mengine hayataki ujuaji wa wanadamu zaidi ya kumrudia muumba wenu
 
Nchi zinazo perform vizuri.
 

Attachments

  • IMG_20200418_122100.jpg
    IMG_20200418_122100.jpg
    66.3 KB · Views: 1
Wahenga walisema lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja. CORONA imeleta maswali mengi kwenye vichwa vya watu bila majibu.

Kama hii video ni kwel basi Corona ilikua kwa ajili yetu watu weusi Ila Mungu wetu katukinga na kuwarudishia wao wenyewe walio tulenga au imeanzia kwao Kama danganya Toto ili ikianza kutumaliza pasiwe na lawama sababu mpaka leo sijafaham kwanini marekan ilitaka raia wake warudi ilihali wao ndio walio kua wanaongoza kwa maambukizi na vifo.

Na vip watu weus kuanza kurudishwa kwao mfano kuna nchi za kiarabu zimeanza kuwarejesha Waafrika ma kwao pia hata China kuweka ugumu ndani ya nchi yao wa kuishi kwa mtu mweusi ni kutaka Waafrika wote warud kwao.

Na vip Marekan watu weusi kufa sana kuliko wazungu na vip mbona watu mashuhur na viongoz wakubwa wenye umri mkubwa hawafi kwa Corona mfano:

Papa
Wazir Mkuu wa Uingereza
Malkia wa Uingereza na wengine wengi ambao tayar ni wagonjwa na wengine wamepona.

Kuna bibi alikua na miaka Zaid ya 112 lakini kapona. Pia kwanini kila siku wanatuambia sisi Wafrika tutakufa zaid ya milioni 10, kwanini isiwe wao?

Mimi ningeshauri serekali zote zingefanya kama walivyo fanya Guinea kushikilia Wachina wote; tena si Wachina tu watu wote wa mataifa ya njee wasiondoke tukabaki wenyewe Africa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ripoti ya Chuo kikuu cha Johns Hopkins imesema Marekani ina takriban vifo 41,114. Kwa mujibu wa chuo hiko imekadiria kuwepo kwa visa takribani 770,564. Watu 70,799 wamepona

Ugonjwa wa #CoronaVirus ulianzia Wuhan nchini China unakadiriwa kuua zaidi ya watu 165,658 duniani kote hadi sasa, huku idadi ya visa ikiwa zaidi ya 2,403,380

CNN
 
Wamarekani Wana magonjwa mengi Sana
Yanasababishwa na Kula vibaya..
Covid 19 imekuja kama kuwa chanzo tu..

Hai make sense idadi ya vifo kulinganisha na quality ya huduma za afya. Kulinganisha na nchi zingine kama Africa na Asia..

Naamini baadae watatoa uchunguzi mkubwa wenye majibu ..

Kingine wamarekani pia Wana matatizo ya mfumo wa matibabu.. private insurance companies zinatengeneza hela kupitia wagonjwa
Kuliko nchi zingine..

Hii Corona ikifanyika uchunguzi why marekani wamekufa watu wote hao kulinganisha na ujerumani na Japan na nchi zingine itatupa majibu
 
Back
Top Bottom