Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Hii Corona ikifanyika uchunguzi why marekani wamekufa watu wote hao kulinganisha na ujerumani na Japan na nchi zingine itatupa majibu
Kama ukiwa na magojwa mengine ukaja kufa na Corona Ujerumani haihesabu kama umekufa na Corona.
 
Leo siku ya nne hakuna update kuhusu maambukizi, waliopona na vifo. Hatujawahi kujua wanapima wangapi kwa siku.

Ummy Mwalimu kaandimika. Majaliwa naye kimya. Jiwe yupo Chato akifanya social distancing.

Huenda baada ya maombi ya siku tatu, wanahuisha takwimu kuona impact ya maombi maana sayansi si kipaumbele Tanzania.

Mara paaap, hakuna maambukizi mapya. Tuendelee kufanya maombi. Tuongeze kiasi cha sadaka. Hili ni muhimu sana.
 
Leo siku ya nne hakuna update kuhusu maambukizi, waliopona na vifo. Hatujawahi kujua wanapima wangapi kwa siku.

Ummy Mwalimu kaandimika. Majaliwa naye kimya. Jiwe yupo Chato akifanya social distancing.

Huenda baada ya maombi ya siku tatu, wanahuisha takwimu kuona impact ya maombi maana sayansi si kipaumbele Tanzania.

Mara paaap, hakuna maambukizi mapya. Tuendelee kufanya maombi. Tuongeze kiasi cha sadaka. Hili ni muhimu sana.
Aliyeunga mkono juhudi pale kinondoni inasemekana tia maji tia maji 😷
 
Leo siku ya nne hakuna update kuhusu maambukizi, waliopona na vifo. Hatujawahi kujua wanapima wangapi kwa siku.

Ummy Mwalimu kaandimika. Majaliwa naye kimya. Jiwe yupo Chato akifanya social distancing.

Huenda baada ya maombi ya siku tatu, wanahuisha takwimu kuona impact ya maombi maana sayansi si kipaumbele Tanzania.

Mara paaap, hakuna maambukizi mapya. Tuendelee kufanya maombi. Tuongeze kiasi cha sadaka. Hili ni muhimu sana.
huenda wameamua kufuata ushauri wa Mwigulu Nchemba aliyeishauri serikali ikae kimya isitangaze chochote kuhusu Corona[emoji28]
 
huenda wameamua kufuata ushauri wa Mwigulu Nchemba aliyeishauri serikali ikae kimya isitangaze chochote kuhusu Corona[emoji28]
Labda lakini huku mitaani watu wanajua nyumba ipi kafa mtu na kazikwa na serikali au sirikali
 
Muache Magufuli apumzike chato maana hali sio nzuri , mwenzio Mtulia yuko kwenye Oxygen alafu unadhani mambo yamaombi yanaonekana kukwama.
 
Leo siku ya nne hakuna update kuhusu maambukizi, waliopona na vifo. Hatujawahi kujua wanapima wangapi kwa siku.

Ummy Mwalimu kaandimika. Majaliwa naye kimya. Jiwe yupo Chato akifanya social distancing.

Huenda baada ya maombi ya siku tatu, wanahuisha takwimu kuona impact ya maombi maana sayansi si kipaumbele Tanzania.

Mara paaap, hakuna maambukizi mapya. Tuendelee kufanya maombi. Tuongeze kiasi cha sadaka. Hili ni muhimu sana.

Ndugu unataka Updates zipi tena zaidi ya kile Kilichotokea Usiku wa Kuamkia leo na Kinachoendelea sasa?
 
Back
Top Bottom