Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Kama ukiwa na magojwa mengine ukaja kufa na Corona Ujerumani haihesabu kama umekufa na Corona.Hii Corona ikifanyika uchunguzi why marekani wamekufa watu wote hao kulinganisha na ujerumani na Japan na nchi zingine itatupa majibu