Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Ni kweli utamcheki MziziMkavu ?
Mkuu Dawa wanazo tumia hospitali kutibu hao wadudu wa H. pylori Bacteria ni hizi hapa .
amoxicillin
tetracycline
metronidazole
clarithromycin
Na Haziwezi kuwauwa hao Wadudu wa H. pylori Bacteria hata utumie kwa muda wa mwaka mmoja sio rahisi kufa hao wadudu wa H. pylori Bacteria kwa dawa za hospitali. akitumia dawa zangu kwa muda wa miezi 2 mpaka miezi 3 atakuwa amekwisha kupona na hao wadudu wa H. pylori Bacteria watakufa wote.
H. pylori Bacteria.jpg
 
pole mkuu.

umetumia Heligo kit mda gani umepita? halafi ishu ni kucheza na risk factor mkuu yaan izo ant-biotic unatumia mara moja unakuwa usha waua kinachobaki ni ulcers kwa hiyo apo ant acid inabid zitumike (omeprazole, pantoprazole etc) hata hivyo risk factor ndio tiba sahihi mfano epuka kuwa na stress kupita kwan mwili wako utazalisha acid nying inakayoenda kuchoma kidonda naww kuumia zaid,

Epuka vyakula vyenye kiwango kikubwa cha acid , otherwise kafanye endoscopy au barium test uone severity of ulcer then madaktary watakusaidia vizur kabisa. note maziwa,dawa za asili zitakufichia tatizo kwa mda lakin litakuja kujirudia tena
 
pole mkuu.
umetumia Heligo kit mda gani umepita? halafi ishu ni kucheza na risk factor mkuu yaan izo ant-biotic unatumia mara moja unakuwa usha waua kinachobaki ni ulcers kwa hiyo apo ant acid inabid zitumike (omeprazole,pantoprazole etc) hata hivyo risk factor ndio tiba sahihi mfano epuka kuwa na stress kupita kwan mwili wako utazalisha acid nying inakayoenda kuchoma kidonda naww kuumia zaid,epuka vyakula vyenye kiwango kikubwa cha acid ,otherwise kafanye endoscopy au barium test uone severity of ulcer then madaktary watakusaidia vizur kabisa. note maziwa,dawa za asili zitakufichia tatizo kwa mda lakin litakuja kujirudia tena
Kweli mkuu unayosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,tumia ipasavyo hizo dawa ingawa ni nyingi. Itachukua muda kupona. Hao bacteria huwa wanajificha chini ya mucus za utumbo tofauti na bacteria wengine hivyo antibiotics pekee haziwezi kuwafikia. Hivyo katika hiyo dozi Kuna dawa za kukausha mucus ili dawa nyingine za bacteria ziwafikie.
Na Mara husababisha vidonda vya tumbo.
 
Kama ni H-Pylori mkuu achana na Heligo Kit. Heligo kit ni underdose kwa H-pylori infection. Changanya hizi dawa:

Amoxicillin 1gm mara mbili kwa siku kwa siku 14

Clarie OD 500mg mara mbili kwa siku 14

Tinidazole 500mg mara mbili kwa siku kwa siku 7, then Ornidazole 500mg mara 2 kwa siku kwa siku 7
Esomeprazole 40mg mara mbili kwa siku 14(ukiweza kupata brand ya Nexium tumia hiyo)..

Ukimaliza hiyo dozi kaa wiki moja then anza kufanya control kwa PPI (napendelea sana Esomeprazole 40mg kila siku asubuhi kwa miezi mitatu)
 
Mkuu tatizo lako ni dogo tu nitafute ujipatie tiba ya kudumu y kukuacha huru kabisa na hilo tatizo lako litaondoka kabisa..dawa yangu haipunguzi au kutuliza tu tatizo kwa muda bali huondoa kabisa tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo ppi Nini baada ya kumaliza hizo dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Proton Pump Inhibitors (PPI) ni kundi la dawa zinazotumika kudhibiti kiasi cha acid kinachozalishwa tumboni (kwa lugha rahisi).

Ndani ya hili kundi ndo kuna dawa kama esomeprazole, lansoprazole, omeprazole, pantoprazole na rabeprazole.

Among the above mentioned, Esomeprazole is my favorite. Tena hasa ukipata ile brand ya Nexium.
 
Mkuu tatizo lako ni dogo tu nitafute ujipatie tiba ya kudumu y kukuacha huru kabisa na hilo tatizo lako litaondoka kabisa..dawa yangu haipunguzi au kutuliza tu tatizo kwa muda bali huondoa kabisa tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ipi hiyo mkuu,iweke wazi hapa hata wengine wapata uvumbuzi mkuu na gharama zake mkuu.kama hutojali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proton Pump Inhibitors (PPI) ni kundi la dawa zinazotumika kudhibiti kiasi cha acid kinachozalishwa tumboni (kwa lugha rahisi).
Ndani ya hili kundi ndo kuna dawa kama esomeprazole, lansoprazole, omeprazole, pantoprazole na rabeprazole.

Among the above mentioned, Esomeprazole is my favorite. Tena hasa ukipata ile brand ya Nexium.
Sawa mkuu nimekuelewa,vipi lakini wewe ushawahi kuugua hili tatizo au? Na linaondoka kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu nimekuelewa,vipi lakini wewe ushawahi kuugua hili tatizo au? Na linaondoka kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hapa ni mtaalamu, lakini pia nilishawahi kuugua na nikatest positive. Nikatumia hiyo regime na nikapona. Tangu 2018, sijawahi tena kupata hata maumivu ya tumbo. Naongea out of experience and professionalism
 
Mimi hapa ni mtaalamu, lakini pia nilishawahi kuugua na nikatest positive. Nikatumia hiyo regime na nikapona. Tangu 2018, sijawahi tena kupata hata maumivu ya tumbo. Naongea out of experience and professionalism
Sawa mkuu na ulishawahi kuwa na dalili zote hapo juu nilizoelezea? Pia Nasikia huyu mdudu ana tabia za kujirudia hata baada ya miaka 5.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom