Inatibu magonjwa mengi sana, mojawapo ni hilo. Utarudisha mrejesho hapa, ni tamu tamu kama asaliMkuu shukran na kwa vile nipo dar kesho nitawatafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatibu magonjwa mengi sana, mojawapo ni hilo. Utarudisha mrejesho hapa, ni tamu tamu kama asaliMkuu shukran na kwa vile nipo dar kesho nitawatafuta
Sio lazima uende Temeke, maduka mengi ya dawa asilia zipo. Mimi nipo nje ya dar ila napata kirahisiMkuu shukran na kwa vile nipo dar kesho nitawatafuta
Hii acid reflux ndo GERD? je inatibika?? Isipotibiwa na kupona madhara yake huwa ni nini?Pole sana ndugu,
Inawezekana kabisa kuwa na h pylori bila kuwa na vidonda vya tumbo. Hawa ni bacteria walio common sana kwenye mazingira yetu. Inakadiriwa asilimia 60 ya watu wana hawa bacteria kwenye matumbo yao, lakini si lazima upate vidonda unapokuwa nao japo ni moja ya factor muhimu zinazopelekea vidonda vya tumbo (ulcers).
Kupata kiungulia maana yake unatengeneza acid nyingi tumboni ambayo inarudi nyumba (reflux) na kuunguza sehemu ya juu ya njia ya chakula yaani umio (oesophagus) na kukusababishia maumivu unayoyasikia (heartburn). Uzalishwaji wa acid nyingi waweza kusababishwa na vyakula vyenye viungo vingi (spicy foods), citric, mkazo (stress), kuvuta sigara, baadhi ya dawa - hasa zilizo katika kundi la NSAIDs kama aspirin na ibuprofen - nk...
Tatizo bado unalo?Dah mimi nina hili tatzo, lilianza mda nimeshapima hiyo OGD, nikaambiwa nina GERD nikapewa mavidonge baada ya kumaliza dozi tatizo likarudi upya, nikapimwa mwez wa 6 nikaambiwa nina hao bacteria H.P nikatumia dawa lakn had wakati huu naandika moto unawaka tumbon had kifuani nikikaa sana joto linajitokeza hadi nje ya mwil ingawa nikipima na kipima joto, nakuta joto liko nomo, sasa sijui hata nifanyeje ila nateseka si mchezo
Vipi huyo mganga ulimtafuta? Alikuponya?Mkuu shukran na kwa vile nipo dar kesho nitawatafuta
Jamani maumivu ninayo yapata nimakali sana,miguu,kifua,mgongo,na miguu kuwaka moto na viungo vyote vinauma ,tar 3/11/2018 nlienda regency nkaonekana vidonda vya tumbo na bacteria H pylori,
Gastroesophageal
Mkuu nimetumia hiyo Sana karibia mwezi haijasaidia aiseeDalili kama za ndugu yangu huku, ye kapona! Malimao, tangawiz na vitunguu swaumu kwa wingi.,. Yaan fanya kama unatibu korona