TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Sanaaa...mpaka vichomi...kuna siku nilishindwa hata kuamka kitandani.....Na wewe tumbo na kifua vinawaka moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaa...mpaka vichomi...kuna siku nilishindwa hata kuamka kitandani.....Na wewe tumbo na kifua vinawaka moto
Not sure ila mimi kama miaka mitatu nyuma nilitibiwa na Dr mmoja pale Ebrahim Hajj Charitable HospitalHospital gani naweza kupata Gastroenterologist hapa nchini, ili nikafanye vipimo zaidi
Mkuu nifafanulie, matango katika swala hili yanasaidia kitu ganiEmbu tumia matango kwa wingi,at least moja au mawili kila unapopata mlo,halafu unipe mrejesho ndugu
Hospital gani naweza kupata Gastroenterologist hapa nchini, ili nikafanye vipimo zaidi
Ni anti acid ,mwenyewe ndiio yananisaidia nimehangaika kama wewe ,jaribu ujionee ,au sio mpenziMkuu nifafanulie, matango katika swala hili yanasaidia kitu gani
Wakati unaendelea kutafuta solutionNi anti acid ,mwenyewe ndiio yananisaidia nimehangaika kama wewe ,jaribu ujionee ,au sio mpenzi
Na wewe kifua na tumbo vinawaka moto, huna vidonda, hpylori. N a je ushapima ukaambiwa tatizo niniWakati unaendelea kutafuta solution
Mkuu hebu fuata ushauri niliokupa juu kuhusu vyakula then leta mrejeshoNa wewe kifua na tumbo vinawaka moto, huna vidonda, hpylori. N a je ushapima ukaambiwa tatizo nini
Pole sana..YES ukiweza kucontrol chakula kinacholeta shida problem inakuwa solved kwa asilimia kubwa sanaHata mimi nina tatizo la GERD la muda mrefu lililotokana na H pylori na ma Dr huwa wanasema kunywa antibiotics huwa siyo njia muafaka kwani wadudu huwa hawaishi utaendelea kuwapata kutokana na vyakula mbalimbali. Hivyo huwa natumia anti acids kama omeprazol na esomeprazol
Kumbuka hapo unatuliza tu.Nimefatilia nikaona unaweza pata cancer ya koo kama una GERD.Je hakuna operation hapa Tz ya kumaliza tatizoHata mimi nina tatizo la GERD la mudHe mrefu lililotokana na H pylori na ma Dr huwa wanasema kunywa antibiotics huwa siyo njia muafaka kwani wadudu huwa hawaishi utaendelea kuwapata kutokana na vyakula mbalimbali. Hivyo huwa natumia anti acids kama omeprazol na esomeprazol
Relcer...hii ni antacid inawezakusaidiaMkuu hpylori nimepima, ila sijarudi tena kucheki baada ya matibabu, pia huo ugonjwa wa hiatal hernia unapimwaje,.Kingine sina stress, wala situmii hivyo vyakula. Na kama ni mikwaruzo tu tumboni nitumie dawa gani kuponya ikiwa kiungulia hakiishi, ila sina vidonda vya tumbo. Au hpylori wanasababisha kiungulia. Naomba mawazo yako
Hiyo heligo ilichonifanya sitaki hata kuisikia..imenufanya nabanduka ngozi mwili eoteHapana, nimetumia madawa mengi ya heligo kit kutibu hpylori, kumbuka nima antbiotics ambayo mtu hushauriwi kutumia mara kwa mara, ndio maana nikasema hivyo
Kumbuka hapo unatuliza tu.Nimefatilia nikaona unaweza pata cancer ya koo kama una GERD.Je hakuna operation hapa Tz ya kumaliza tatizo
Kula ndizi mbivu mjomba. .ni tiba tosha ya kiungulia.Mkuu KIUNGULIA NICHO SANA HATA NIKINYWA POMBE KALI AU BIA NA BADHI YA VYKULA AU UBWABWA NA MAHARAGE HALAF NINYWE MAJI WE USIKU SILALI WAKATI MWINGINE HADI NIJITAPISHE ILE ACID NDO NILALE INAKUJA HADI MDOMON
Mkuu kuna dawa ya kiasili nikutumie namba ukaitafute, imenisaidia kwa kiasi mimi, ujitahidi utimize chupa saba. Inapatikana Temeke huko, 0712715253Dah mimi nina hili tatzo, lilianza mda nimeshapima hiyo OGD, nikaambiwa nina GERD nikapewa mavidonge baada ya kumaliza dozi tatizo likarudi upya, nikapimwa mwez wa 6 nikaambiwa nina hao bacteria H.P nikatumia dawa lakn had wakati huu naandika moto unawaka tumbon had kifuani nikikaa sana joto linajitokeza hadi nje ya mwil ingawa nikipima na kipima joto, nakuta joto liko nomo, sasa sijui hata nifanyeje ila nateseka si mchezo
Mkuu kuna dawa ya kiasili nikutumie namba ukaitafute, imenisaidia kwa kiasi mimi, ujitahidi utimize chupa saba. Inapatikana Temeke huko, 0712715253