salome peter
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 379
- 268
Agakhan dar walinipa heligokit na amoxicillin pia na rabeprazole nikatumia zote kwa pamoja nilipata nafuu sana ni kama nilipona maaana nilivyopima huyo bakteria hakuonekana ni miaka 5 iliyopita ila mwaka huu mwezi wa tatu nilianza kuumwa tena nikaenda regency nikapima choo akaonekana tena hapa nipo kwenye kit tena lakini niliongezewa na rabeprazole natumia kwa pamoja,
Ndugu nikujibu hiyo dawa ni metronidazole siyo kama unavyoandika lakini ipo ndani hiyo kit imetumia jina la tinidazole, pia dr's wanaweza kujua ugonjwa kwa kujua dalili hivyo kukuuliza na kukuandikia dawa ni sahihi kabisa pia kupima endoscopy ni kujua ukubwa wa vidonda na utumbo unahali gani kuna vidonda ambavyo chanjo siyo huyo helicobacteria ili ujue chanzo ni huyo unapima damu na choo kikubwa.
akiwepo ndio kutumia hizo kit kama hayupo unatumia hizo omeprazole au rabeprazole au esomeprazole lansoprazole lakini zilizo za karibuni ni hiyo rabe na eso kuna rafiki yangu alienda kutibiwa hilo tatizo South Africa ameniambia hana huyo bacteria kapewa esomeprazole na Domperidone hii walimwambia vidonda husababisha kichefuchefu au hata kusikia kutapika hali hiyo hufanya acid kuzalishwa kwa wingi zaidi hiyo dawa inazuia kichefuchefu na kutapika
Ndugu nikujibu hiyo dawa ni metronidazole siyo kama unavyoandika lakini ipo ndani hiyo kit imetumia jina la tinidazole, pia dr's wanaweza kujua ugonjwa kwa kujua dalili hivyo kukuuliza na kukuandikia dawa ni sahihi kabisa pia kupima endoscopy ni kujua ukubwa wa vidonda na utumbo unahali gani kuna vidonda ambavyo chanjo siyo huyo helicobacteria ili ujue chanzo ni huyo unapima damu na choo kikubwa.
akiwepo ndio kutumia hizo kit kama hayupo unatumia hizo omeprazole au rabeprazole au esomeprazole lansoprazole lakini zilizo za karibuni ni hiyo rabe na eso kuna rafiki yangu alienda kutibiwa hilo tatizo South Africa ameniambia hana huyo bacteria kapewa esomeprazole na Domperidone hii walimwambia vidonda husababisha kichefuchefu au hata kusikia kutapika hali hiyo hufanya acid kuzalishwa kwa wingi zaidi hiyo dawa inazuia kichefuchefu na kutapika