Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Lundavi, atofautiana. Ahsanteni na samahani kama maelezo yangu hayatakusaidia.[/QUOTE]

Amoxillin nimewahi kutumia, ila sina uhakika kama hao wenzake walikuwepo. Ngoja nijaribu kutumia hii kitu.
 
Sijawahi kuitumia ila wanaotumia wanadai inasaidia. Menya viazi mviringo kiasi kitakachokupatia juisi glass moja. Tengeneza juisi asubuhi na kunywa glass moja kabla ya kula chochote na baki bila kula hadi ipite walau saa 1. Kisha endelea kula kama kawaida. Juisi inatia kichefuchefu wakati wa kunywa. Tumia walau siku 7.
Kumbuka kuleta mrejesho
 
Amoxillin nimewahi kutumia, ila sina uhakika kama hao wenzake walikuwepo. Ngoja nijaribu kutumia hii kitu.
Poa aise kikubwa ni kujaribu, bila shaka utatuletea mrejesho baada ya kutumia.
 
Hiyo dose uliyopewa ni hiyo hiyo helgo kit ila kabadili badala ya cllarythromy kaweka amoxicillin na badala ya kutumia tinidazola kaandika metronidazole ni dawa moja hiyo jina lingine ni flagyl na unatakiwa utumie siku 7 hadi 14, hizo ni antibiotics nyingi usimpe mjamzito subiri ajifungue na pia badala ya unaweza kutumia rabeprazole ni nzuri kuliko omeprazole japo ni jamii moja ila sio vidonda vyote hutokana na bakteria aitwae H.Pylori wale wenye vidonda vitokanavyo na huyo bakteria ndio hutumia hiyo triple therapy yaani dawa 3 na kumpima ni choo kikubwa na damu siyo endoscopy ile ni kuangalia ukubwa wa vidonda na ni aina gani ya vidonda
 
Mimi pia bakteria huyo ananisumbua lakini ana kawaida ya kutoka na kurudi na ni mgumu sana kufa hivyo ni kubadili sana antibiotics mpaka aje kufa kati watu 10 nane wana huyo bakteria ni tatizo kubwa sasa hivi
 
Na si kuumwa tu chembe ya moyo na tumbo unaweza hata kujifikiria una ukimwi maana dalili zake ni nyingi vidonda mdomoni maumivu ya mwili hata unaweza kufikiri ni typhoid au malaria mgongo na kiuno kuuma miguu uchomvu mwilini kichwa kuuma miguu kuwanga nk
 
Upo E="salome peter, post: 20846726, member: 400860"]Na si kuumwa tu chembe ya moyo na tumbo unaweza hata kujifikiria una ukimwi maana dalili zake ni nyingi vidonda mdomoni maumivu ya mwili hata unaweza kufikiri ni typhoid au malaria mgongo na kiuno kuuma miguu uchomvu mwilini kichwa kuuma miguu kuwanga nk[/QUOTE]
Upo sawa; sasa tufanyeje na hii hali.Tuendelee kubadilisha tu madawa ama maana ni balaa
 
Tuendelee na dawa tunazoshauriwa ila H.pylori si wakujivunia umepona ana kawaida ya kujirudia mara kwa mara ni mateso kwa kweli
Dawa gani, mfano aliyoiandika jamaa, Metroprazole nimeitafuta ila sijaipata hadi sasa
 
Lundavi,
Sorry mkuu.hiyo dawa ya pili ni metroprozole au metronidazole au metroprolol??..maana nimegoogle metroprozole hamna dawa kama hiyo.clarification please?
 
Back
Top Bottom