Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, inaweza kua kwaheri mwalimu. Mtu anasema sijui jina linaitwaje.Hapa JF kila mtu ni mtaalamu makushauri uende hospital
Mkuu nshafanya hivyo, nasubr mda kidogo nikapime tenaosama BLD said:Mkuu meza saws Heligo for seven days alafu inauzwa kuqnzia alf40 hadi 50 kisha siku ya 8 kuna nyingine unaendela nay kwa cku 23 jina sikumbuki vizur ila nadhan inaitwa tendazole sina uhakika nilivyo itajq
Una nia nzuri uko sahihi ni dose nzuri, hiyo ya siku 23 unameza kidongo kimoja ndani ya 24hrs mimi pia nimeisahau ila inakuwa packed together kwenye Heligo kit!Mkuu meza saws Heligo for seven days alafu inauzwa kuqnzia alf40 hadi 50 kisha siku ya 8 kuna nyingine unaendela nay kwa cku 23 jina sikumbuki vizur ila nadhan inaitwa tendazole sina uhakika nilivyo itajq
Ukizingatia unapona kabisa,Mkuu nshafanya hivyo, nasubr mda kidogo nikapime tena
umeponaUna nia nzuri uko sahihi ni dose nzuri, hiyo ya siku 23 unameza kidongo kimoja ndani ya 24hrs mimi pia nimeisahau ila inakuwa packed together kwenye Heligo kit!
Mkuu asante sana. Nakupm namba yangu. Ntashukuru sana.Nilikuwa natatizo hilo kwa mwaka miaka miwili lakini nimekuja kupona kabisa. Nipo job now nikifika home nitakutumia dawa nilizo tumia. Naamini utapona.
Nimeshakutumia namba yanguNilikuwa natatizo hilo kwa mwaka miaka miwili lakini nimekuja kupona kabisa. Nipo job now nikifika home nitakutumia dawa nilizo tumia. Naamini utapona.
Poa Mkuu nimeshaipata.Nimeshakutumia namba yangu
Asante mkuu.Poa Mkuu nimeshaipata.
Usijali, hapa tunaelimishana, kila kitu kitawekwa waziSasa wakuu mngeweka hapa hizo info ili na wengine pia wapate msaada ndo maana nzima ya jamiiforum.. Mkipeana taarifa kimya kimya sio poa.. Nawasihi na kuwaomba kiungwana tu muweke ufumbuzi wa hilo tatizo hapa ili na wengine wapone...
Shukran kwa maelezo mazuri