Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

HIV ni 10+ years, Kisukari 8+ yrs. Anatumia ARV ,na Sukari pia anatumia dawa....Kwa kesho nahisi kimoja kitapatikana ila cha OGD mpka jumatatu.

OGD haina shida sana, Ni H.Pylori infection tu hiyo inamsumbua.

Tofauti na dawa ulizoandika hapo mwanzo hakuwahi pewa dawa nyingine kwaajili ya ku-cover tatizo hili!?
 
OGD haina shida sana, Ni H.Pylori infection tu hiyo inamsumbua.

Tofauti na dawa ulizoandika hapo mwanzo hakuwahi pewa dawa nyingine kwaajili ya ku-cover tatizo hili!?

Sikumbuki vizuri maana some how inachosha sana,ila hizo dawa nilizosema nyingi alitumia wakati akiwa private pale muhimbili coz kila dawa tulikuwa tunanunua wenyewe ,now yupo kawaida kwahiyo kuna dawa nyingine sijui alizotumia,ila madawa ni mengi sana aliyotumia na karibu kila siku walikuwa wanabadilisha, kwangu nina phamarcy ndogo...
 
Sikumbuki vizuri maana some how inachosha sana,ila hizo dawa nilizosema nyingi alitumia wakati akiwa private pale muhimbili coz kila dawa tulikuwa tunanunua wenyewe ,now yupo kawaida kwahiyo kuna dawa nyingine sijui alizotumia,ila madawa ni mengi sana aliyotumia na karibu kila siku walikuwa wanabadilisha, kwangu nina phamarcy ndogo...
Pole sana, Ukipata majibu ya kesho nijulishe.

Jitahidini kuzingatia usafi na lishe/mlo uliokamilika.
 
Pole sana, Ukipata majibu ya kesho nijulishe.

Jitahidini kuzingatia usafi na lishe/mlo uliokamilika.

Sawa Mkuu Najitahidi juu ya hilo,wiki hii yote nimejaribu kupekenyua kwenye net nikaona mambo ya lishe yanayofaa nimeanza kuyatumia. Kesho mkuu nitaomba uniambie na jinsi huu ugonjwa unavyoambukizwa maana nimekutana na Mambo huko mpaka nikatetemeka sana nikasema Mungu aniponye tu maana ni shida,mgonjwa wangu ana hasira sana na sijui makusudi au vipi? kuna mambo mengine anafanya yataka moyo kumuhudumia. Anyway Mungu ndo anajua.

Asante mkuu kwa ushirikiano wako.
 
Omeprazole si nzuri kwa mtu mwenye vidonda...Mimi ni victim wa ulcer pia nipo kwenye dozi Sasa..huyo mgonjwa wako awe makini sana na mambo muhimu haya

1. Aina ya vyakula, asitumie vyakula matunda yeyote yenye acid kwa Sasa mpaka amalize dozi mfno machungwa.

Pia vyakula kama


2. Dagaa
3. Maharage asitumie
4. Ale vyakula laini mf Mlenda


5. Awe makini sana na mda wa kunywa dawa kama alivyoandikiwa

Hizo dawa alizopewa zinaweza kumsaidia kabisa kama sio kupona kabisa

Mimi nilianza na dawa hizi
1. Sucrifil suspension
2. Trinidazol
3. Clarithomycin
!
Baadae nimebadirisha natumia HERIGO KIT kwan H. pylori hawakuisha na Sasa Niko fit kabisa na hali ilikua mbaya kabla ya Harpo, mpaka kukonda, kuchizi(kuweuka), kutoa kinyesi cha damu, ma kutapika

Yaani in short ale haswaaaa..menu nzuri hasa vyakula laini na awe committed kutumia hizo dawa
 
Omeprazole si nzuri kwa mtu mwenye vidonda...Mimi ni victim wa ulcer pia nipo kwenye dozi Sasa..huyo mgonjwa wako awe makini sana na mambo muhimu haya

1. Aina ya vyakula, asitumie vyakula matunda yeyote yenye acid kwa Sasa mpaka amalize dozi mfno machungwa.

Pia vyakula kama


2. Dagaa
3. Maharage asitumie
4. Ale vyakula laini mf Mlenda


5. Awe makini sana na mda wa kunywa dawa kama alivyoandikiwa

Hizo dawa alizopewa zinaweza kumsaidia kabisa kama sio kupona kabisa

Mimi nilianza na dawa hizi
1. Sucrifil suspension
2. Trinidazol
3. Clarithomycin
!
Baadae nimebadirisha natumia HERIGO KIT kwan H. pylori hawakuisha na Sasa Niko fit kabisa na hali ilikua mbaya kabla ya Harpo, mpaka kukonda, kuchizi(kuweuka), kutoa kinyesi cha damu, ma kutapika

Yaani in short ale haswaaaa..menu nzuri hasa vyakula laini na awe committed kutumia hizo dawa

Anza na dozi iyo hapo juu atapona alafu HERIGO kit ni WK tatu mfululizo

Asante sana Mkuu kwa Ushauri wako muhimu.
 
Pole sana, Ukipata majibu ya kesho nijulishe.

Jitahidini kuzingatia usafi na lishe/mlo uliokamilika.

Habari Mkuu ,leo nimefanikisha hicho hapo vingine mpka jumatatu....hivi hiki kipimo kwaajili ya nini kimenitoa knock out....
1450527084306.jpg
 
Habari Mkuu ,leo nimefanikisha hicho hapo vingine mpka jumatatu....hivi hiki kipimo kwaajili ya nini kimenitoa knock out....

Salama Mkuu, Pole Sana.

Hicho Ni kipimo Cha Sukari, Kinatumika kugundua kiwango cha Sukari ndani ya muda Fulani (Max 8Weeks).. Kipimo hiki Ni tofauti kidogo na kile cha kawaida, na kwa majibu yake Ni dhahiri "diabetic Patient" na wataalamu wanajaribu ku-monitor hiyo Sukari ili kuepusha Complications zake.

Ningependekeza Jambo Moja, Kwa wakati huu Aendelee na Uangalizi Wa hao madaktari (Maana yawezekana wanayajua mengi kumuhusu mgonjwa kuliko Mimi na wewe), ila Waombe Wamshughulikie na Tatizo la H Pylori, kwa wakati huu nipo Iringa ila Mwenyezi Mungu akijaalia wiki ijayo nitakua dar na nikiweza nitaomba nikutane na Mgonjwa.
 
Wakuu habari za wakati,

Naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu akapona hili tatizo la hpylori au anatuliza tu kwa muda, halafu linajirudia tena

Msaada wenu kwa wataalam, ambao wameshaumwa na wazoefu

Asanteni
 
H.pylori ni bacteria kama wengine hupona kabisa.lakini huweza kusababisha vidonda tumboni.
 
onyx,
Nimesumbuliwa kwa miaka mingi sana, nilikua naenda hospitali nakosa matibabu sahihi sababu hawakujua tiba sahihi. nina mwezi sasa nimepewa dozi naendelea vizuri sana.
 
meza amoxylline 500mg mara 3 kwa siku kwa muda wa siku 7,flagy 400mg mara tatu kwa siky kwa muda wa siku 7na baadae meza omeprazole 20mara mbili kwa siku kwa wiki 4 hadi sita. utapona.kabisa
 
Mkuu meza saws Heligo for seven days alafu inauzwa kuqnzia alf40 hadi 50 kisha siku ya 8 kuna nyingine unaendela nay kwa cku 23 jina sikumbuki vizur ila nadhan inaitwa tendazole sina uhakika nilivyo itajq
 
Back
Top Bottom