Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

Na wewe kifua na tumbo linawaka moto, huna vidonda vya tumbo ila una hpylori
Mm nina vidonda vya tumbo mkuu, hiyo ya kuwaka moto kifua hutokea mara moja moja ikiwa vidonda vinauma sana
 
Mm nina vidonda vya tumbo mkuu, hiyo ya kuwaka moto kifua hutokea mara moja moja ikiwa vidonda vinauma sana
Mimi tumbo haliumi, ila kifua na tumbo kuwaka moto ndio balaa. Pole sana
 
Mimi tumbo haliumi, ila kifua na tumbo kuwaka moto ndio balaa. Pole sana
Asante, mkuu kama tumbo lina waka moto hizo ni dalili za vidonda nakumbuka hata mm mwanzoni ilikuwa hvyo
 
Asante, mkuu kama tumbo lina waka moto hizo ni dalili za vidonda nakumbuka hata mm mwanzoni ilikuwa hvyo
Mkuu tunatishana,sasa mbona nimepima endoscopy sijakutwa na vidonda
 
Mkuu tunatishana,sasa mbona nimepima endoscopy sijakutwa na vidonda
Sikutishi nakuambia ambacho nilipitia kaka, moto unawaka upande upi wa tumbo?
 
Helicobacter pylori ni bacteria mzuri ila anapozidi huleta athari mwilini. Hili ni jambo ambalo madaktari wengi wa kwetu wamekua ama kwa uzembe au kwa sababu wanazozijua wanawapa watu ma-antibiotics eti ya kutibu h.pylori. The only thing ni kuweka in check hawa bacteria.
 
Katikati karibu na kifua
Pole sana, ikiwa moto unawaka kushoto basi inasemekana inakuwa gastric ulcers na ikiwa kulia basi no duodenal ulcers. Hapo ktk sijajua mkuu,
Mm vidonda vimeniletea complication sana mwilini mwangu
 
Pole sana, ikiwa moto unawaka kushoto basi inasemekana inakuwa gastric ulcers na ikiwa kulia basi no duodenal ulcers. Hapo ktk sijajua mkuu,
Mm vidonda vimeniletea complication sana mwilini mwangu
Complication gani hizo. Je unanishaurije, maana kuwaka kifua na tumbo bado kupo ila nimeambiwa sina vidonda, au nipime tena. Je kwako kuna mda tumbo linauma
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Complication gani hizo. Je unanishaurije, maana kuwaka kifua na tumbo bado kupo ila nimeambiwa sina vidonda, au nipime tena. Je kwako kuna mda tumbo linauma
Mkuu kama unaweza kupima unaweza pima tena
 
Yan Hata u. T. I tumbo huwa linawaka moto hasa chn ya kitovu na pia kuhs kama tumbo linawaka moto hembu pma kwanza
 
Hiyo wanait
onyx,

Nawasilisha[/QUOTE]
Hiyo wanaita gastroeasophageal reflux desease GERD Asidi ya tumboni inakuwa inapanda kooni na kuunguza kuta zake. Ndiyo maana maumivu unayasikilizia kifuani.
 
Mkuu pole, kumbe na wewe kama mm tu hatuja pata dawa sahihi
Ni kazi kutibu hii ishu. Dawa yake ni kuepuka baadhi ya vyakula na dawa, kubadili mtindo wa maisha na kutumia dawa za kupunguza asidi.
 
Hiyo wanait

Hiyo wanaita gastroeasophageal reflux desease GERD Asidi ya tumboni inakuwa inapanda kooni na kuunguza kuta zake. Ndiyo maana maumivu unayasikilizia kifuani.
Wapi nitapata daktari mzuri wa kuniangalizia hii kitu, maana ni shida sasa
 
Na wewe kifua na tumbo linawaka moto, huna vidonda vya tumbo ila una hpylori
Pole sana...nina tatizo kama Lako,nimetumia sana helgo kits,Sijui raberprazole,omeprazole nikajagundua kuwa kuna vyakula vinanizidishia tatizo...

Vyakula hivyo ni wanga hasa nafaka kwa upande wangu...so nimejitahidi kulima eliminate ugali,wali,chapati,maandazi etc...yaani nisipokula vyakula dizaini hiyo nakuwa mzima kuliko maelezo...

Nikila tu vyakula vya wanga Siku mbili tatu acid inanisumbua Mpaka mbavu zinabana.....Aaaah raises acha tu

So maisha yangu siku hizi modestly ni protein,mboga za majani, matunda....it's hard mpaka uzoee ila it makes the condition bearable

Fanya analysis ya vyakula kujua kipi kinazidisha tatizo
 
Wapi nitapata daktari mzuri wa kuniangalizia hii kitu, maana ni shida sasa
Mi siku hizi hata nimesahau matumizi ya dawa baada ya kujua nini tatizo na nini kinafanya libido

Pole sana maana najua unavyojisikia na maumivu unayoyapata
 
Hospital gani naweza kupata Gastroenterologist hapa nchini, ili nikafanye vipimo zaidi
 
Back
Top Bottom