pius maige
Member
- Mar 2, 2012
- 57
- 8
Nimefungua biashara ya Mgahawa sehemu flani hapa mjini DSM, nimeweka wafanya kazi 3; mmoja kwa ajili ya chips na wa2 kwa ajili ya chakula kwa sababu biashara yenyewe bado changa. Eneo ambalo nafanyia biashara lina population kubwa na halina competition kubwa sana. Mimi napitia mida ya jioni kucheki jinsi biashara inavyoendela na kuhakikisha hesabu zinaenda vizuri.
Tatizo mpaka sa hizi ni zaidi ya mwezi na sioni faida yoyote zaid ya kuwalipa wafanyakazi wangu kwa kipato changu kidogo ambacho ninakipata kwenye kaajira kangu kwa mhindi. Naombeni mnisaidie yafuatayo;
NAOMBENI USHAURI WENU.
- Nifanyaje ili niweke kuvutia wateja zaidi bila kutumia kiasi kikubwa cha fedha?
- Nifanyaje ili niweze kupata faida kubwa, yani kuwa na matumizi kidogo na mauzo mengi?
- Nifanyeje ili kuwabana wafanyakzi wngu waisimamie biashara vizuri na kupata faida?
Mojawapo ya sababu ya wahindi kufanikiwa sana kwenye biashara ni kwamba wahindi huwa wanamchukulia kila mtu wanayemuajiri kuwa ni potential "mwizi". Hata siku moja mhindi hamuamini mfanyakazi wake kwenye pesa.
Ukiwa unaenda jioni tu tayari unawapa mwanya wafanyakazi wako wa kujifanyia watakavyo. Wanaweza wasikuibie pesa lakini wakahonga chakula, kufanya uvivu, kutokutumia lugha nzuri kwa wateja etc.
Be there yourself to set the standards you require. Kama umeshindwa kabisa kufanya hivyo basi show up unexpectedly, usiwe na muda maalum.
Define kundi unalotaka liwe wateja wako halafu wapikie chakula cha bei na flavour zinazoendana na matakwa yao.
Hongera sana kwa kutoa ajira.
Kitendo cha kuanza ni uthibitisho tosha kuwa unaweza. Just get closer to your business and "spy" your employees.
Teua kiongozi kati yao, halafu mwingine ongea naye chamber kuwa yeye ni "spy" wako kwa wengine - be ready to reward his work. Watatu aliyebaki tafuta mbinu ajione ana bidii na thamani kuliko wengine. That way unapunguza uwezekano wa wao kushirikiana kukuibia au kufanya uzembe.
Hawa madogo wanakwenda alfajili sana kukusanya kuku waliokufa mabandani na kuwaandaa vizuri. Kisha wanaondoka na hao vibudu mpaka town Ktk migahawa na kuuza kwa bei ya kutupa. Sisi tunafakamia kwa bei nafuu. Uliza wafugaji aw kitunda wakupe Siri hii Kama kuna kuku wanafukiwa huko wakifa.
Mojawapo ya sababu ya wahindi kufanikiwa sana kwenye biashara ni kwamba wahindi huwa wanamchukulia kila mtu wanayemuajiri kuwa ni potential "mwizi". Hata siku moja mhindi hamuamini mfanyakazi wake kwenye pesa.
Ukiwa unaenda jioni tu tayari unawapa mwanya wafanyakazi wako wa kujifanyia watakavyo. Wanaweza wasikuibie pesa lakini wakahonga chakula, kufanya uvivu, kutokutumia lugha nzuri kwa wateja etc.
Be there yourself to set the standards you require. Kama umeshindwa kabisa kufanya hivyo basi show up unexpectedly, usiwe na muda maalum.
Define kundi unalotaka liwe wateja wako halafu wapikie chakula cha bei na flavour zinazoendana na matakwa yao.
Hongera sana kwa kutoa ajira.
Kitendo cha kuanza ni uthibitisho tosha kuwa unaweza. Just get closer to your business and "spy" your employees.
Teua kiongozi kati yao, halafu mwingine ongea naye chamber kuwa yeye ni "spy" wako kwa wengine - be ready to reward his work. Watatu aliyebaki tafuta mbinu ajione ana bidii na thamani kuliko wengine. That way unapunguza uwezekano wa wao kushirikiana kukuibia au kufanya uzembe.
Na kama kampuni ni kubwa unafanyaje? Ukubwa kama wa McDonalds?
Nilimaabisha collectionNaomba niwe meneja, namba 3 hapo kwenye maswali unayojiuliza nimepajibu!
Namba 5, tutatumia njia ya kila kiendacho kwa mteja kiandikwe.
Namba 6, unamaanisha Makusanyo au Masahihisho? (Correction / Collection).
Niko siriaz ndugu, sina kazi!
Hakikisha anakaa mkeo au ndugu yako unae muamini jaribu kununua viti hasa vitafunwa kuliko kupika mwenyewe watu watatu wanatosha na mkeo wa nne.
Asisahau wapishi makini wenye kujua taste ya chakula na viungo maridhawa manake hapo ndio ulipo moyo wa biashara hiyo ukiacha usafi na mazingira rafiki kwa wateja.
Akifuata ushauri wako na huu biashara ya chakula hakitupi mtu hata siku moja.
Wapishi wazuri lazima aende kuiba restaurant za wahindi
wahindi hawawalipi vizuri
Hakikisha anakaa mkeo au ndugu yako unae muamini
jaribu kununua viti hasa vitafunwa kuliko kupika mwenyewe
watu watatu wanatosha na mkeo wa nne...
Sorry, restaurant yake afu ananunua vitafunwa kwingine? Inalipa?
Ina save time na vitu vingi. Mfano unanunua maandazi kwa mtu andazi moja 150
we unauza andazi 300. Hapo faida yako ni 150 bila kununua unga wala kupoteza mda wa kupika.